Ni kweli alikuwa SPIKA MZURI SAANA lakini ajiulize kwa nini 2nd term aliambiwa ili achaguliwe ni lazima ajibadilishe na kuwa Mwanamke.Yeye ni Spika pekee aliyekaa kwa term moja tu.
Aliharibu kwenye BMK...na hapo aliingizwa mkenge baada ya wajanja kuona nyota yake ya urais inangara na hao wajanja walijuwa katiba mpya popote duniani inakuwa ni mgogoro..sijui kwa nini SEVEN minus ONE hakujuwa hili.
Umri wake pia umeenda mbali wasiwasi anaweza ngangania kama Mzee Mugabe.
Yeye na Mh.Pinda hawana support ya waumini wa dini zote...kwa sababu ya mahakam ya kadhi.Kosa walichukuwa viongozi wa kidini wasiokubalika na kufanya nao mazungumzo.Kwa mfano zaidi ya 90% ya waislamu hawamkubali Alhad....sheikh wa mkoa wa Dar ....kwani aliwekwa kinyume na katiba ya Bakwata.
Aliharibu kwenye BMK...na hapo aliingizwa mkenge baada ya wajanja kuona nyota yake ya urais inangara na hao wajanja walijuwa katiba mpya popote duniani inakuwa ni mgogoro..sijui kwa nini SEVEN minus ONE hakujuwa hili.
Umri wake pia umeenda mbali wasiwasi anaweza ngangania kama Mzee Mugabe.
Yeye na Mh.Pinda hawana support ya waumini wa dini zote...kwa sababu ya mahakam ya kadhi.Kosa walichukuwa viongozi wa kidini wasiokubalika na kufanya nao mazungumzo.Kwa mfano zaidi ya 90% ya waislamu hawamkubali Alhad....sheikh wa mkoa wa Dar ....kwani aliwekwa kinyume na katiba ya Bakwata.