msomi uchwara
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 4,788
- 9,126
Huyo black ametisha sana kwenye movies zake nying kama ile ya snakes on the plane
Mweupe ni yupi??Washington??Huyo black ametisha sana kwenye movies zake nying kama ile ya snakes on the plane
Am jealous ....Denzel Washington is my man
Movie inaitwa hit man's bodyguardkila mmoja ana ladha yake hapo. danzel yeye ni mzee wa kazi mkono mkono tu ngumi jiwe
huku mwenzie anachanganya na comedy kidogo kuna muvi ya mwisho kuitazama ya huyo samwel nadhan inahusiana na mambo ya 'ubodigadi' ilinivutia
You always come first babeAm jealous ....
Samuel L. Jackson ana muvi moja matata inaitwa The negotiator, hawa jamaa wote wako poa.Kama wadau mnavyosema kila mmoja yuko vizuri katika role flani
Ila nadhani inategemea pia na director wa movie
Dnjango unchainge
The heatfull eight
na nyingine samuel yuko poa sana hasa akikutana na uyo director wa izo movie apo juu
Fence
2 guns
John Q
Equalizer 1&2
Danzel ni kisanga
Hahahahahaha wanjanoMweupe ni yupi??Washington??
Haha kwenye hiyo movie denzel na mwenzake hawana akili kabisa,iko poa sanaDenzel noma!...mzee muhuni sana yule
Kwenye 2 guns alinipa raha na ule mwendo wake!
Denzel noma!...mzee muhuni sana yule
Kwenye 2 guns alinipa raha na ule mwendo wake!
Anadunda huyo balaa na matege yake... Napenda sana akitembea utafikiri anakata mauno[emoji15]Mzee kijana... Ana dundika daaah huyu jamaa... Nimekumbuka kuna muvi yake mpya inatoka mwezi huu wa Tisa... Ngoja niangalie kama imeshatoka...
Sam anafit ktk roles nyingi. Danzel anamovie zake, lazima awe serious saana ili afit. Nafkiri hili linamkosesha movie nyingi ( money). Sam anaweza cheza hata comed lakini Danzel sidhanKama wadau mnavyosema kila mmoja yuko vizuri katika role flani
Ila nadhani inategemea pia na director wa movie
Dnjango unchainge
The heatfull eight
na nyingine samuel yuko poa sana hasa akikutana na uyo director wa izo movie apo juu
Fence
2 guns
John Q
Equalizer 1&2
Danzel ni kisanga
😳😳😎unoo... Hatari...Anadunda huyo balaa na matege yake... Napenda sana akitembea utafikiri anakata mauno[emoji15]