Samsung VS Other Android

Nashukuru mkuuu
 
Simu ulizotaja umewahi kutumia sinshangi ukisema hivyo....kachungulie Soxy XZ au ZA au Z5 AU LG V10 na kuna simu ya kimarekan itakuja ina Ram GB12 CAMERA MP60 NA secondary ni 20MP nimeshangaa unaulizwa ubora wa simu unaonesha emoji kwanza samsung anawatengenezea battery kafoji cheti..!
 
mkuu nimegundua kuwa humu ndani kuna wengi ambao wameanza kutumia hizi smart hapa karibuni ndio maana wanasifia samsung wakihisi ndio simu pekee
hivi kwenye hizi android kuna wenye simu za ukweli kama sony,htc na lg naona wengi wanafuata jina la samsung bila kujua na ubora wa simu nyingine
 
watanzania walio wengi wanaijua samsung pekee ndio maana wengi wanatumia samsung clone na sio original

samsung ni simu za gimmicks tu angalia hiyo simu yao mpya ya S8 imeshaanza kuzingua upande wa chaji na kioo kinajikoleza rangi nyekundu
 
Mkuu hii simu yangu hii inatumia version gani ya mediatek?[emoji116]
 

Attachments

  • IMG_20170426_131809_539.JPG
    59 KB · Views: 57
Hio ndio shida...ila taratibu tu wataelewa mkuu
 
Natumia iphone 5s lakin sijaipenda nataka ni upgrade nichukue samsung s6 au s7
 
mtapiga kelele sana ila Iphone ni kitu ingine mazee" hayo ma samsung sijui ma tecno mtasubili sana kwa ios
Ni sawa ukisema hivyo, ila tecno usiiweke hapo, wewe compare samsung vs iPhone

Ilitakiwa useme "iPhone ni kitu kingne zaidi ya Samsung"

Tecno mpaka unaipambanisha na iPhone unakosea
 
Siku mmoja kati yenu akinunua Bugatti atatukana watu wote wanaotumia matoleo ya Toyota kuwa sio gari za kutembelea Bali ni km uchafu mnasahau mtu anatumia kitu kutokana na uwezo wake wa kipesa au mipango aliyojiwekea. Siwezi kununua simu 2m wakati kuna majukumu ya kifamilia sijayatekeleza.
 
Huyo ni phantom 6 plus! Msiwe mnaponda simu sababu tu inaitwa tecno itafuteni kwanza uione kwa makini halafu useme!! Saivi kuna competition katika ubunifu! Usilewe kw sababu samsung inatoa vitu bora ujue kuwa yule uliyemdharau jana usitegemee kuwa atakuwa duni maisha
 
Kila aloiponda phantom 6 plus aangalie kimeo chake halafu afananishe na huo mtwanga[emoji12]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…