watu wa arusha acheni upuuzi. kweli samsung j2 unauza laki tatu. hembu peleka upumbavu wako hukoView attachment 657335
Habari wadau wa jukwaa hili, simu iko katika hali nzuri inauzwa sh. laki 3,, mazungumzo yapo.
Location : Arusha.
Karibuni.
View attachment 657336
Bei iliyo fair ni ipi ?Simu yenye betri 2000 mAh kwa laki 3 labda watanunua wasioelewa mambo ya simu
Yaani simu ina betri ndogo
pia hata kwa 250k bado ni overpriced kwa specification zake
Inatakiwa kuuzwa bei gani ?watu wa arusha acheni upuuzi. kweli samsung j2 unauza laki tatu. hembu peleka upumbavu wako huko
Original pesa ngapi ?Ukiona hivo ni KOPI ya kichina ...sio ORIGINAL
Yangu original na pia ni mtunzaji mzur wa simuOriginal pesa ngapi ?
SawaYangu original na pia ni mtunzaji mzur wa simu
laki 3 ila kama uko siriazi utapenda kua nayo njoo tuongee private PM nitaipunguza ...ni bora ununue kitu original kwa bei uliyopunguziwa kuliko kununua ambayo ni cheap lakini ya kichina
Watu wa JF sina hamu nao kabisawatu wa arusha acheni upuuzi. kweli samsung j2 unauza laki tatu. hembu peleka upumbavu wako huko
Kama huwashi ovyo DATA bila sababu za msingi au kuwasha mziki kutwa nzima basi inakaa masaa 15..nilitoka nayo dar kwenda mwanza ilikua na 100% lakin njiani nlikua nasikiliza mziki mda mrefu na kuwasha data japo sio kila saa nikafika mwanza saa 7 na chaji ilikua 58%Sawa
Inakaa na chaji kwa muda gani?
Ndio.nmenunua nna wiki sasaHio ni bei ya j2 ?
sasa ww nawe ni blind .. ile j prime unsfananisha na J2... au ni ukubwa wa kioo umekuchanganya. . J2 is th best kwa series nyingi za mbele kwenye J series .. tena ukute ni 4G ... utaipenda.Wakati samsung j prime ni 250k mpya we jamaa muogope mungu
Uzuri wa j2 upo kwenye nini ndugusasa ww nawe ni blind .. ile j prime unsfananisha na J2... au ni ukubwa wa kioo umekuchanganya. . J2 is th best kwa series nyingi za mbele kwenye J series .. tena ukute ni 4G ... utaipenda.