Dukan mpya uku mbeya kwa agent wa samsung ni 280000.kwa mtawa 250000 garantee miaka 2View attachment 657335
Habari wadau wa jukwaa hili, simu iko katika hali nzuri inauzwa sh. laki 3,, mazungumzo yapo.
Location : Arusha.
Karibuni.
View attachment 657336
Zko poa kwenye nn kaka ?hiv samsung kwa na vistorage vidgo sana yn mpka shida.....hcho ndo kinachokera bt zko poa sana
Hio ni bei ya j2 ?Dukan mpya uku mbeya kwa agent wa samsung ni 280000.kwa mtawa 250000 garantee miaka 2