Ungeuzia hukohuko Whatsap kwenye magroupNjoo whatsap utapata picha na bei
Kwan nae anajiuzaTunaomba na picha yako kabisa.
Kwan nae anajiuza
Ohooooo.......Tunaomba na picha yako kabisa.
No, ukiona sura ya muuzaji unaweza kujua ni tapeli au siyo tapeli.
Hiyo simu ni ya wizi ndio maana unaita watu wasapp uwatapeli?watu wa arusha ni wa ajabu ajabu sana,wezi na matapeli,unalazima ufuatwe wasapp ili iweje?ili uwaibie watu?alafu unajidai mkali,we huuzi simu kuna kitu kingine unauza kwa Avatar hyo,we tangaza biashara zote na bei zake hapahapa utapata wateja wa biashara zako zote mbili!Ndio maana sikukuita vilevile umekuja mwenyewe imekukera pita hivi
![]()
![]()
![]()
Nyengine hii hapa inauzwa bei 200,000/=
Nipo tabata ukitaka kweli tunaonana na unaiona simu yenyewe, sio ya wizi bwana simu ni mpya tu ya demu mmoja jirani yangu kuhusu lisiti sijamuuliza ila inaweza ikawepo ila sina uhakika.Toa maelezo muhimu, unapatikanaje, mahali ulipo, simu ni ya wizi au umenunua na risiti unazo, wewe ni ke au ni me.