TZ biashara
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 523
- 107
Simu hii imetumika lakini ipo ktk hali nzuri na inafanya kazi bila ya wasiwasi.Isipokuwa kifuniko cha nyuma kimeregea kidogo lakini kinafunga kama kawaida na haisumbui matumizi yake na mauzo ya simu hii ni simu na charger tu bila ya box.Nategemea baada ya wiki moja itakuwa imefika kutoka uingereza.Tafadhali wasiliana na Habibu 0717810318 Bei ni Tsh 200,000
-Screen size 3.7"
-Capacity 8GB
-Picture 8 mega pixel
-Model i8910 HD
-Screen size 3.7"
-Capacity 8GB
-Picture 8 mega pixel
-Model i8910 HD