baraka607
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 844
- 168
Habari wakuu,
Samsung Galaxy Tab 10.1 ya 32GB, naiuza kwa TZS. 750,000/= tu. Ni used toka nje na haina scratch hata kidogo wala shida yoyote.
Call me: 0655 003 510
vp mkuu mzigo bado upo?Habari wakuu,
Samsung Galaxy Tab 10.1 ya 32GB, inasupport Wireless na Sim Card (3G) naiuza kwa TZS. 750,000/= tu. Ni used toka nje na haina scratch hata kidogo wala shida yoyote.
Call me: 0655 003 510
Used used 2 iwe us uk china au bongo. That's 1 reason unauza kwa bei hiyo. Kibongobongo ni 1.1m
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Sorry bro GP mzigo uliondoka fasta sana' ila nimekujibu PM yako so hakuna kitakachoharibika. Nikirudi tu utakua wa kwanza kukucheki. Asante