Samsung Galaxy S9 special thread

Lusungo

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
29,503
Reaction score
42,575
Wakuu tukutane hapa kujuzana mambo matamu ya Samsung Galaxy S9.... Leo tarehe 25 itazinduliwa rasmi huko Barcelona!!

Inasemekana hii simu itakuwa ni balaa na itaendelea kukimbiza kama ilivyofanya S8

Karibuni kwa updates!!

_________________
UPDATES
__________________

Kucheki live event ya ifunguzi bonyeza hapa:



Hii ndo official trailer yake!!!


Huu ndo muonekano wake..... SUPER!! SUPER!! SUPER!!!



Na hizi ndo Specs zake..... Samsung haijawahi kutuangusha!!! Re imagined camera.... emoji improvements and more!!

Samsung Galaxy S9 - Full phone specifications

Samsung Galaxy S9 - Full phone specifications
 
Wakuu tukutane hapa kujuzana mambo matamu ya Samsung Galaxy S9.... Leo tarehe 25 itazinduliwa rasmi huko Barcelona!!

Inasemekana hii simu itakuwa ni balaa na itaendelea kukimbiza kama ilivyofanya S8

Karibuni kwa updates!!
@lusungo asante sana kwa taarifa ila ungejua hali zetu.. Usingetutamanisha kaka
 
S8 inadumu kwa muda gani ikiwa na ubora wake ipasavyo?
Inadumu muda wote!! Hizi simu ni high-end mkuu..... ubora utakaouona siku ya kwanza na baada ya miaka mitatu ni ule ule... tofauti na tecno ambapo kadiri siku zinavyosogea ubora unaondoka
 
Inadumu muda wote!! Hizi simu ni high-end mkuu..... ubora utakaouona siku ya kwanza na baada ya miaka mitatu ni ule ule... tofauti na tecno ambapo kadiri siku zinavyosogea ubora unaondoka
Poa mkuu, ila ka TECNO kangu nako si haba kanachanja mbuga kama kawaida
 
Poa mkuu, ila ka TECNO kangu nako si haba kanachanja mbuga kama kawaida
Hamia kwenye vitu vizuri mkuu...... kuanzia March S9 itakua mtaani..... karibu kwenye Ulimwengu wa simu nzuri
 
Hamia kwenye vitu vizuri mkuu...... kuanzia March S9 itakua mtaani..... karibu kwenye Ulimwengu wa simu nzuri
Usijali mkuu kila mmoja anakula kwa urefu wa kamba yake, kikubwa ni kushiba tu na kupata utulivu
 
Nina tecno h6 toka 2015 ubora uleule na sijaipeleka kwa fundi toka ninunue,nimebadilisha betri tu.
 
Ila wakuu bila kupepesa macho samsung simu zao zote ni nzur kuanzia low end wamezifix zimekaa poa mnooo kwa weny kipato cha chini mid end ndo usiseme daah hawa jamaa mm kwangu hawan mpinzani labda sony experia kwa upande wa android phones
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…