Samsung Galaxy S8 vs Iphone 6s nichukue ipi ?

Samsung Galaxy S8 vs Iphone 6s nichukue ipi ?

Mkuu hizo simu zimekua za siku nyingi sana na zimepitwa na wakati
Nadhani kuanzia mwakani iPhone 6 itashindwa kuwa na aap kama watsap nk

Kwa bei ya hizo simu tafuta midrange phone za kisasa
Midrange ipi hiyo inayo uzwa 250k
 
Wakuu

Ebu nipeni ushauri nasaha hapa mdogo wenu, nimekwama kati ya vyuma tajwa hapo juu, nipite na ipi kati ya hizo mbili.

Natanguliza shukrani.
Apple walisitisha update kwa iphone 6s, chukua samsung s8 kwa sasa. Ila kama unajiweza kidogo nenda iphone 12 max pro au 13 max pro.
Kwa samsung chukua ultra 22
 
Sawa mkuu, ila Samsung Galaxy nahofia kioo chake, nasikia ukitumia kwa muda flani,kioo kinaleta mistari.

mistari huletwa baada ya kubamiza simu chini.

simu zote zenye majina kama wewe sio mtunzaji ni majang.
simu zote hapo sio mbaya,kama unataka flagship taste,ila utakosa kitu kinachoweza kukukera,bettery imara.
 
Zote hizo simu nazifahamu, kwa uhakika wa kukaa na simu hata miaka kumi basi Iphone ni chagua sahihi.

Kama unataka simu itakayokupa raha ktk kila eneo, Samsung ni suluhisho lako. S8 ni mashine. Kikubwa weka protector na uitunze vizur, utaifurahia sana.
 
Zote hizo simu nazifahamu, kwa uhakika wa kukaa na simu hata miaka kumi basi Iphone ni chagua sahihi.

Kama unataka simu itakayokupa raha ktk kila eneo, Samsung ni suluhisho lako. S8 ni mashine. Kikubwa weka protector na uitunze vizur, utaifurahia sana.
Shukrani sana mkuu
 
mistari huletwa baada ya kubamiza simu chini.

simu zote zenye majina kama wewe sio mtunzaji ni majang.
simu zote hapo sio mbaya,kama unataka flagship taste,ila utakosa kitu kinachoweza kukukera,bettery imara.
Nilidhani inakuja yenyewe, basi shukrani sana mkuu.
 
Apple walisitisha update kwa iphone 6s, chukua samsung s8 kwa sasa. Ila kama unajiweza kidogo nenda iphone 12 max pro au 13 max pro.
Kwa samsung chukua ultra 22
Shukrani mkuu, uwezo wa kwenye ma-pro max huko bado.
 
Wakuu

Ebu nipeni ushauri nasaha hapa mdogo wenu, nimekwama kati ya vyuma tajwa hapo juu, nipite na ipi kati ya hizo mbili.

Natanguliza shukrani.
Nakushauri chukua iPhone ila kuanzia 7, 7+ na kuendelea kwa sababu kuu moja, nayo ni kudumu. iPhone inadumu miaka nenda rudi na hata kioo kikiharibika gharama za matengenezo ni za chini ukilinganisha na Samsung.

Samsung achana nayo, yaweza kuwa kubwa, nzuri lakini mara itakapoharibika kioo kuitengeneza ni bei karibia na ya simu mpya. Na hapo ubahatike kupata kioo ‘Original’ kwa bei hiyo maana unaweza pata ‘fake’ kwa bei ya ‘Original’.

Achana na Samsung achana na iPhone 6s, chukua iPhone kuanzia 7:
 
Nakushauri chukua iPhone ila kuanzia 7, 7+ na kuendelea kwa sababu kuu moja, nayo ni kudumu. iPhone inadumu miaka nenda rudi na hata kioo kikiharibika gharama za matengenezo ni za chini ukilinganisha na Samsung.

Samsung achana nayo, yaweza kuwa kubwa, nzuri lakini mara itakapoharibika kioo kuitengeneza ni bei karibia na ya simu mpya. Na hapo ubahatike kupata kioo ‘Original’ kwa bei hiyo maana unaweza pata ‘fake’ kwa bei ya ‘Original’.

Achana na Samsung achana na iPhone 6s, chukua iPhone kuanzia 7:
Shukrani sana mkuu, binafsi hilo swala la kudumu nimelipa kipaumbele, maana naelewa kuwa Samsung zipo fresh ila kuharibika ni swala la kufumba na kufumbua..
 
Ungeongeza pesa kidogo ukachukua Samsung galaxy s10 plus 5g ungekosha sana .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom