randez vous
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 890
- 622
Nami nimenunua s8 nafanyaje ili nipate warranty?
ushauri wako kaka yangu. ..so inflash tuhiyo ni ya marekani huwezi tengenezewa hapa Tanzania bure na samsung.
anza na kuiformat kwanza. ingia hapaushauri wako kaka yangu. ..so inflash tu
model yake ni ipi? nenda setting kisha aboutNami nimenunua s8 nafanyaje ili nipate warranty?
ina warranty? peleka samsung wakakutengenezee. ukiflash mwenyewe n kutrip knox umevunja warranty. kama haina warranty una box lake? unaijua model ya hio simu?
jaribu kwenda setting kisha security kisha device administrator. kama ipo hio avg huko na imeekewa tiki litoe hilo tiki na ujaribu tena kuitoa.Kiongozi za kwako. Simu yangu nimeinstall antvirus aina ya AVG sasa nataka kuifuta lakini haifutiki. Msaada tafadhali.
cm haiwaki charge iliisha ... so siwez kuingia tena .Bahati mbaya na cm sizijui kbsanza na kuiformat kwanza. ingia hapa
SAMSUNG G955F Galaxy S8+ - How to Hard Reset my phone - HardReset.info
hapo wanakuonesha jinsi ya ku hard reset. utaclear data na cache halafu uiwashe tena uone kama itawaka vizuri. wakati wa kuwaka inaweza chukua muda kidogo.
si uiweke charge?cm haiwaki charge iliisha ... so siwez kuingia tena .Bahati mbaya na cm sizijui kbs
SM-G950Fmodel yake ni ipi? nenda setting kisha about
hakikisha una salio kwenye simu kama 500 na sio kifurushi.SM-G950F
Chief uko vizuri sana. Nakumbuka hii system ndo tulikua tukiangalizia km Samsung ni og ama siyohakikisha una salio kwenye simu kama 500 na sio kifurushi.
nenda kwenye sms andika
REG*IMEI NUMBER#
kisha tuma kwenda 15685
utajibiwa kama imesajiliwa ama la na watakata salio kama 150 au 250 hivi.
imei namba unaipata kwa kubonyeza *06# kama imei ni 123345688 basi msg yako itakuwa
REG*123345688#
ila inaweza ikakataa na ikawa ni original. hio system inaonesha kama hio samsung ni ya kwetu huku Africa ama la.Chief uko vizuri sana. Nakumbuka hii system ndo tulikua tukiangalizia km Samsung ni og ama siyo
chief_mkwawa kujua i phone og unafanyaje?ila inaweza ikakataa na ikawa ni original. hio system inaonesha kama hio samsung ni ya kwetu huku Africa ama la.
zile samsung za korea, marekani, china hazikubali hio system.
sababu ios inatumiwa na iphone tu unajaribu tu kutumia service za Apple. vitu kama imessage, itunes, icloud, etc vikikataa hiyo ni fake, vikikubali ni org.chief_mkwawa kujua i phone og unafanyaje?
ahsante chief_mkwawa.sababu ios inatumiwa na iphone tu unajaribu tu kutumia service za Apple. vitu kama imessage, itunes, icloud, etc vikikataa hiyo ni fake, vikikubali ni org.
Ebhana kumbe bado siyo kigezo msingi kujua km ni genuine au siyo....? Sasa ili ujue km Samsung ni og utafanyaje chief?ila inaweza ikakataa na ikawa ni original. hio system inaonesha kama hio samsung ni ya kwetu huku Africa ama la.
zile samsung za korea, marekani, china hazikubali hio system.
imezima kbs hata charge haiingii ..... yaan n kama imekufa kbssi uiweke charge?
pitia huu uzi hapa utapata mwanga zaidiEbhana kumbe bado siyo kigezo msingi kujua km ni genuine au siyo....? Sasa ili ujue km Samsung ni og utafanyaje chief?