Habari za asubuhi,
Wakuu natumia Samsung galaxy S8 plus lakini Ijumaa ilipata tatizo ni baada ya kuizima jioni. Nilivyokuja kuiwasha ikawa inawaka alafu inaandika "installing system update" alafu inaleta maandishi madogo mengi then inajizima.
Nimejaribu kwa fundi wa kwanza imeshindikana. Nimejaribu kwa fundi wa 2 nae nahisi kashindwa wanasema inatakiwa kuflashiwa. Msaada, nimuonee nani simu ni mpya ina week 3. Nimeirekodi inavyofanya ila sijui jinsi ya ku-upload video hapa.
Wakuu natumia Samsung galaxy S8 plus lakini Ijumaa ilipata tatizo ni baada ya kuizima jioni. Nilivyokuja kuiwasha ikawa inawaka alafu inaandika "installing system update" alafu inaleta maandishi madogo mengi then inajizima.
Nimejaribu kwa fundi wa kwanza imeshindikana. Nimejaribu kwa fundi wa 2 nae nahisi kashindwa wanasema inatakiwa kuflashiwa. Msaada, nimuonee nani simu ni mpya ina week 3. Nimeirekodi inavyofanya ila sijui jinsi ya ku-upload video hapa.