Samsung Galaxy s6 Edge

Samsung Galaxy s6 Edge

Sasa duka lipi nikujibuje.. niseme duka la nne kushoto?!. Weka namba hadharani nikupigie.. na wewe ukifika kariakoo mtaa wa aggrey nipigie nikufate ulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa duka lipi nikujibuje.. niseme duka la nne kushoto?!. Weka namba hadharani nikupigie.. na wewe ukifika kariakoo mtaa wa aggrey nipigie nikufate ulipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aggrey naijua sasa afu sijawahi weka mawasiliano hadharani namba yangu unayo usitake niendesha......afu am the one to decide where to meet Maana usijeleta vibaka.
Kwa usalama wangu.
 
Aggrey naijua sasa afu sijawahi weka mawasiliano hadharani namba yangu unayo usitake niendesha......afu am the one to decide where to meet Maana usijeleta vibaka.
Kwa usalama wangu.
Mtu anayeishi illegally hawezi weka namba yake hadharani.. only innocent one can.. mchana huu nikuletee watu kwani umenikosea nini?.. si unadai mimi ndio nimekuibia?.. njoo nikurudishie nilichokuibia hapa city centre kaka..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nyie watu mnanichekesha ha ha msiende kupigana tu huko
 
Polisi jirani hapo msimbazi ......
Si tunasubiri tuone nani mkwelu nani muongo

Ova
 
Ha ha pole sana mkuu, kweli hii sim ni feki pale juu kushoto original ina vitundu vitatu nashangaa hii ina viwili. wanunuaji kua macho.
Inawezekana hiyo simu ni feki,lakini Sio kwa Sababu uliyoisema ya original kuwa na vitundu vitatu.S6 Ina vitundu 2 kama hiyo.Labda uthibitishe kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom