Samsung Galaxy s6 Edge

Samsung Galaxy s6 Edge

Mazee joo mbona kuna vagi pande iii
Huyu bwana Mkubwa tumefanye exchange deal kanipa Samsung s7 na 370k nikampa IPhone 7+256 gb anakuja sema Simu fake Mara atanitoa bikira sasa Mimi nipo willingly anikamate afu anitoe bikira afu mimi nifate njia kuu.
 
Huyu bwana Mkubwa tumefanye exchange deal kanipa Samsung s7 na 370k nikampa IPhone 7+256 gb anakuja sema Simu fake Mara atanitoa bikira sasa Mimi nipo willingly anikamate afu anitoe bikira afu mimi nifate njia kuu.
mbona naona kama aliyenunua cheni bandia katoa noti bandia???

Wakati huo nawewe unalalamika simu haisomi mnara .
.
 
0715 193810 na hii ndo namba yako usiponikamata na kunionyesha bikira Mimi nitakukamata kwa kauli yako ya kihuni.
Bikra pekee uliyonayo ni ya mkundu... namaanisha hivyo.. natamani ungekuwa na moyo wa kunipeleka polisi ili mradi nikutane na wewe live.. nina uhakika wa kukufanya ninachokusudia hata mbele ya polisi kwa jinsi nilivyokuwa na hasira na wewe.. fanya tu kujisalimisha tuyamalize.. la sivyo issue hii itatupa umaarufu mimi na wewe muda si mrefu.. kama simu yako siyo fake kwa nini unaikata!?.. mi nimekuruhusu hata kama hela umekula nirudishie tu simu yangu unayosema haipandishi mnara..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bikra pekee uliyonayo ni ya Makalio... namaanisha hivyo.. natamani ungekuwa na moyo wa kunipeleka polisi ili mradi nikutane na wewe live.. nina uhakika wa kukufanya ninachokusudia hata mbele ya polisi kwa jinsi nilivyokuwa na hasira na wewe.. fanya tu kujisalimisha tuyamalize.. la sivyo issue hii itatupa umaarufu mimi na wewe muda si mrefu.. kama simu yako siyo fake kwa nini unaikata!?.. mi nimekuruhusu hata kama hela umekula nirudishie tu simu yangu unayosema haipandishi mnara..

Sent using Jamii Forums mobile app
Well Mzee Mimi nakusubiri.
 
Watanzania bhaana,sasa hapo biashara gani imeharibiwa!? Si amekusaidia kujua kuwa muuzaji ni tapeli!? Yaani ww unamtetea tapeli ili aendelee kutapeli..!? Ukifuatilia ubishani wao,mbona ipo wazi mmoja ni tapeli?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka we mwelewa sana.. sijajua hata jamaa anatetea nini, ila nilikuwa sijisikii kumuuliza tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania bhaana,sasa hapo biashara gani imeharibiwa!? Si amekusaidia kujua kuwa muuzaji ni tapeli!? Yaani ww unamtetea tapeli ili aendelee kutapeli..!? Ukifuatilia ubishani wao,mbona ipo wazi mmoja ni tapeli?



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hajatapeliwa ivi unajua kutapeliwa wewe??anatafuta public apology
 
Huyu hajatapeliwa ivi unajua kutapeliwa wewe??anatafuta public apology
Usianze kurukia watu wengine,maelezo na maswali ya nn!!? Mbona kuthibitisha km ww si tapeli ni issue ndogo sana..mwenzio kaweka hadi namba ya simu hapa kwe public,kakuomba uende mtaa wa aggrey,umesema simu yake mbovu,amekuambia mpelekee tu hiyo simu na zile pesa ubaki nazo. Wewe hapo tatizo linatoka wapi!? Umepewa namba za simu halafu unauliza hapa upo aggrey duka gani? Yaani akili za kitoto kabisaa!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Laki 550 unapata kiwanja kabisa aisee...

Post sent using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom