Samsung Galaxy s6 Edge

Samsung Galaxy s6 Edge

Backup ya nini tena kaka?!.. basi njoo nirudishie tu simu yangu unayosema haisomi mnara.. pesa nikusamehe.. najua ushazitafuna zimekwisha..

Sent using Jamii Forums mobile app
Simu yako haisomi mnara ulijua nikienda reset haiweza fanya Kazi huo UTAPELI.
Malipo yenyewe hayakukamilika udhulumaji huo
Simu nimekupa yenyewe unakuja sema fake hadi imei unayo.
Unasema umenipa m1.4 udanganyifu huo.
 
Naona dogo ile milioni uliyoniuzia iphone 7 fake ishakwisha sasa umekuja na kopi nyingine ya s6 edge.. ndo maisha uliyochagua hayo ya utapeli.. muda si mrefu utapoteza bikira wewe.. nitakutia mikononi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri huo mda si mrefu nipoteze bikra afu na wewe utapoteza vyote Maana unanichukulia Dogo unakuja na kauli za kihuni.
Afu usiniharibie biashara ndo inaniingizia pesa kama wewe unavouza vitu sijawahi sema fake.
 
Simu yako haisomi mnara ulijua nikienda reset haiweza fanya Kazi huo UTAPELI.
Malipo yenyewe hayakukamilika udhulumaji huo
Simu nimekupa yenyewe unakuja sema fake hadi imei unayo.
Unasema umenipa m1.4 udanganyifu huo.
Tapeli akishakutapeli anakukwepa kama ufanyavyo wewe.. kama nimekutapeli mimi.. njoo nikurudishie haki yako.. njoo hata na wana nipo kariakoo tukutane tuyamalize!!..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazee joo mbona kuna vagi pande iii
 
Naona dogo ile milioni uliyoniuzia iphone 7 fake ishakwisha sasa umekuja na kopi nyingine ya s6 edge.. ndo maisha uliyochagua hayo ya utapeli.. muda si mrefu utapoteza bikira wewe.. nitakutia mikononi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
'Mda si mrefu nitapoteza bikira' haya maneno yako yanakuweka pabaya.
1:umenidhalilisha kijinsia,kutokana na maumbile yangu sina bikira kama wanawake sasa utaeleza ni bikra ipi utaitoa.
2:unanitisha nitapoteza bikira ikiwa unamanisha utaniingilia kinyume na maumbile, kumwingilia mtu wa jinsia moja kinyume na maumbile 'USHOGA' ni kinyume cha sheria za Tanzania adhabu yake ni miaka 30 jela.
3:umenitishia usalama wangu.

Sasa ndugu black Chinese kwa maneno yako ya kihuni yenye kudhalilisha nakusubiri unikamate afu mambo mengine yaendelee.
Nijue ni bikira ipi unaimaanisha.
 
0715 193810 na hii ndo namba yako usiponikamata na kunionyesha bikira Mimi nitakukamata kwa kauli yako ya kihuni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom