habari wadau, najua mshaskia kuwa kuna s4 lakini sio zile original zenyewe but hii ni clone yake tena iko vile vile copy right haina tofauti except low camera quality na haina sensors, iko faster na iko smooth kama ile original tu, na inakubali all apps from google playstore na hata samsung apps, bei ni laki 3 na elfu 20 mpya kabisa