samsung galaxy s4 quality clone

samsung galaxy s4 quality clone

chilubi

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
8,201
Reaction score
6,268
habari wadau, najua mshaskia kuwa kuna s4 lakini sio zile original zenyewe but hii ni clone yake tena iko vile vile copy right haina tofauti except low camera quality na haina sensors, iko faster na iko smooth kama ile original tu, na inakubali all apps from google playstore na hata samsung apps, bei ni laki 3 na elfu 20 mpya kabisa
 
habari wadau, najua mshaskia kuwa kuna s4 lakini sio zile original zenyewe but hii ni clone yake tena iko vile vile copy right haina tofauti except low camera quality na haina sensors, iko faster na iko smooth kama ile original tu, na inakubali all apps from google playstore na hata samsung apps, bei ni laki 3 na elfu 20 mpya kabisa

Kula mia na hamsini!
 
habari wadau, najua mshaskia kuwa kuna s4 lakini sio zile original zenyewe but hii ni clone yake tena iko vile vile copy right haina tofauti except low camera quality na haina sensors, iko faster na iko smooth kama ile original tu, na inakubali all apps from google playstore na hata samsung apps, bei ni laki 3 na elfu 20 mpya kabisa

Je hili neno: """"""""'Copyright """""""""""" huwa linatumiwa vizuri, au mimi ndiye sielewi?
 
Je hili neno: """"""""'Copyright """""""""""" huwa linatumiwa vizuri, au mimi ndiye sielewi?

mkuu hayo mambo ya copyright watajuana wenyewe uko samsung na cloners.... Wanatakiwa wawakamate uko uko lakini seems they allow it, besides hawajacopy everything, android is an open source which means its free
 
Je hili neno: """"""""'Copyright """""""""""" huwa linatumiwa vizuri, au mimi ndiye sielewi?

Anamaanisha zinafanana, siyo haki miliki kama ulivyoiandika wee. Si unajua kikikristu kinatusumbua mkubwa, tuvumiliane tu hivohivo!
 
Anamaanisha zinafanana, siyo haki miliki kama ulivyoiandika wee. Si unajua kikikristu kinatusumbua mkubwa, tuvumiliane tu hivohivo!

hahahah sawa nlikua sijamuelewa, ila nimeandika copy right kuwa ni two different words sio copyright ambayo ni hati miliki mi nilimaanisha hati sawa...lolz
 
Ukitaka product kwenye kiwanda China inayofanana na product fulani, wanakuuliza, Unataka Original, Same-same au Duplicate? Hii inaweza kuwa Same-same.
 
Ukitaka product kwenye kiwanda China inayofanana na product fulani, wanakuuliza, Unataka Original, Same-same au Duplicate? Hii inaweza kuwa Same-same.

swaiba apa nimeinua mikono mana aisee iko smooth kama ilivyo samsung wenyewe. Alafu iko fasta. Waliponimaliza hawa jamaa wanayo mpaka samsung apps ilokuwemo kwenye samsung original tu. The only drawbacks ni camera low quality na sensor tu haina
 
Back
Top Bottom