Samsung galaxy s3 mini

Samsung galaxy s3 mini

1. screen
galaxy s2 ina screen kubwa kuliko mini kama unapenda screen kubwa s2 ni yako kama unapenda ya kawaida mini ni yako. lakini tukija quality ya screen mini ni kubwa sababu screen zote zina resolution sawa

2. kwenda na wakati
mkuu mini ina jely bean wakati s2 ina gingerbread na unaweza ku update hadi ice cream sandwitch

3.upya na uzamani
mkuu mini ni mpya na s2 ni yazamani always mpya ina advantage

mi nakushauri go for mini

mkuu S2 inaweza kuwa upgraded to v4.1 Jellybean aisee
 
hapo sawa, halafu kuna S2 plus, hii inakuja na 4.1 kabisa

naifahamu thats why nikakwambia siongelei refreshed. samsung katoa refreshed product karibia bidhaa zake zote maarufu, galaxy ace,s,s2,s3
 
Mm naona bora nikufahamishe ukanunue HTC desire. Kwa bei rahs kuliko sehemu nyengne. Ni MP ukiwa tayar

htc desire unaona ni better than s3 mini? u must b on marijuana dude...

ni PM (PRIVATE MESSAGE) sio MP
 
Nataka kununua híi simu mda si mrefu.. Naomba mtu aliye na uzoefu nayo anipe detail zake zote wakuu, je ni simu nzuri kwa matumizi, n.k n.k.

Au kama kuna maoni tofauti na ungependa kunishauri simu nyingine kali zaidi ya hii pia unakaribishwa. Madukan sasa wanauza 400k.

Ushauri wenu tafadhali ndugu

Kwa anaehitaji GALAXY S4 ninazo Tafadhali ni PM
 
Hi guys... asanteni kwa ushauri wenu.. bt kupitia maoni yenu pamoja na reviews mbalimbali nilizozipitia kupitia Youtube pamoja na google i have decided to take samsung galaxy s2 PLUS.. hii ni device mpya ya samsung ambayo ni refresh ya samsung galaxy s2.. imetoka mwaka huu mwezi wa kwanza... and i love this phone because it comes with Jelly beans 4.1.2 out of the box. it has 4.3 inchs screen size and have features of galaxy s3 like pop up play,direct call etc ina tunza charge more than s2........

Nilichokiona kwenye samsung galaxy s3 mini ni kwamba ni ndogo sana kwenye screen size only 4 inchs..na haina feature amabazo zinalingana sana na s3.. samsung wameipa tu jina ili iuze kwenye soko.. bt it is just another samsung phone...
 
Dukan mini ina bei gani guys na je ipi bora kati ya hii na lumia 620. Call me 0752975953 nataka hii cm hata leo
 
DUkani wanauza laki 4 na ushee inategemea na duka lakini
 
Back
Top Bottom