RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,877
- 5,444
Nataka kununua híi simu mda si mrefu.. Naomba mtu aliye na uzoefu nayo anipe detail zake zote wakuu, je ni simu nzuri kwa matumizi, n.k n.k.
Au kama kuna maoni tofauti na ungependa kunishauri simu nyingine kali zaidi ya hii pia unakaribishwa. Madukan sasa wanauza 400k.
Ushauri wenu tafadhali ndugu
Au kama kuna maoni tofauti na ungependa kunishauri simu nyingine kali zaidi ya hii pia unakaribishwa. Madukan sasa wanauza 400k.
Ushauri wenu tafadhali ndugu