Jamani simu haijatumika sana..ina vifaa vyake..ni simu galaxy yenye screen kubwa na line mbili..anayehitaji anicheki kupitia 0713 190 118
Ulivyosema line mbili tu ndo umechaafua hali ya hewa!
Ulivyosema line mbili tu ndo umechaafua hali ya hewa!
Jamani simu haijatumika sana..ina vifaa vyake..ni simu galaxy yenye screen kubwa na line mbili..anayehitaji anicheki kupitia 0713 190 118
Ulivyosema line mbili tu ndo umechaafua hali ya hewa!
inaonesha ni jinsi gani upo mbali na samsung maana mchina alipotoa tu line mbili na kupata soko sana Samsung naye akatoa za kwake zenye line mbili na ubora wa hali ya juuSidhani kama Samsung walishatoa SIM YA line mbini nimepata wasiwasi na uwezo wa hyo SIM, labda kwa ukubwa wa umbo NI kubwa bt ndani sasa mmmmh