AK47 TRIGER
Member
- Feb 27, 2013
- 57
- 9
Hii simu inasumbua kwa upande wa battry na pia kila baada ya masaa mawili lazima uizime ili internet ifanye kazi
Kuna mtu amesha sikia jinsi ya kuondoa hilo tatizo la internet kutofanya kazi kila baada ya masaa mawili
Kuna mtu amesha sikia jinsi ya kuondoa hilo tatizo la internet kutofanya kazi kila baada ya masaa mawili