Nimeuziwa hii simu ila ilikua Note For Sale kwa maana ya kuwa ilikuja kama sample. Sasa sehemu ya kuweka sim card imefungwa na pia tundu la line ni dogo sana. Wataalam naomba maujanja yenu tafadhali
Nimeuziwa hii simu ila ilikua Note For Sale kwa maana ya kuwa ilikuja kama sample. Sasa sehemu ya kuweka sim card imefungwa na pia tundu la line ni dogo sana. Wataalam naomba maujanja yenu tafadhali