Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Wakuu naomba msaada nini cha kufanya maana nimevumilia yamenishinda, naunga 1GB natumia kidogo tu zinakata nkicheki kwenye matumizi ya data nakuta Samsung Cloud imekula 800MB, tatizo ni nini?
Zima Samsung Cloud sync.Wakuu naomba msaada nini cha kufanya maana nimevumilia yamenishinda, naunga 1GB natumia kidogo tu zinakata nkicheki kwenye matumizi ya data nakuta Samsung Cloud imekula 800MB, tatizo ni nini??
watu wa Tecno mna mambo!Kumbe afadhali tecno
Nenda kwenye settings yake halaf chagua nn usynk na nn usisynk.Wakuu naomba msaada nini cha kufanya maana nimevumilia yamenishinda, naunga 1GB natumia kidogo tu zinakata nkicheki kwenye matumizi ya data nakuta Samsung Cloud imekula 800MB, tatizo ni nini??