kbmk
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 776
- 158
Habari zenu wana jamvi kuna mtu anauza samsung pocket for Tshs 120000/= na ace for Tshs 170.000/= nkizilinganisha sifa nkilingaanisha sifa ktk procesor na memory POCKET MKUBWA SIJAJUA kwann bei ya ace kubwa nahitaj kununua moja, nisaidien ipi ya kununua?