Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 599
- 206
Hivi ipi simu kali hapo kwa upande wa quarity ya camera na kila kitu
Asante sana Gif kwa msaada maana nikawa na jiuliza kwann ina bei kubwa hapo nimekupataaA51 ni nzuri zaidi,
hio A9 pro (A8s) ilitoka tu masoko machache hasa hasa China na Korea hivyo kuna uwezekano mkubwa ikawa ni refurbished ukiipata soko la Tanzania.
A51 ina super amoled, software mpya zaidi, na mambo mengi mapya Kushinda A9.
Kati ya a51 na a71 una recommend ipi?A51 ni nzuri zaidi,
hio A9 pro (A8s) ilitoka tu masoko machache hasa hasa China na Korea hivyo kuna uwezekano mkubwa ikawa ni refurbished ukiipata soko la Tanzania.
A51 ina super amoled, software mpya zaidi, na mambo mengi mapya Kushinda A9.
A71 nzuri zaidi, sema na bei pia tofauti.Kati ya a51 na a71 una recommend ipi?
Hii a71 bei yake imekaaje?A71 nzuri zaidi, sema na bei pia tofauti.
Around laki 8 mpaka 1m inarange humo.Hii a71 bei yake imekaaje?
Na a 51??Around laki 8 mpaka 1m inarange humo.
550k mpaka 750kNa a 51??
Kwani quarity na quality ipi ni imara zaidiHivi ipi simu kali hapo kwa upande wa quarity ya camera na kila kitu
Kwa 550K naweza patia wapi kiongoz maana hiyo bajet ninayo550k mpaka 750k
Buy & Sell in TanzaniaKwa 550K naweza patia wapi kiongoz maana hiyo bajet ninayo
Hawa majama n wa kwel au kama wakina kupatana maana kupata niliwahi kulizwa kule
Hapo unachukua No unaenda dukani mwenyewe, usitume hela popote pale Nchi hii bila kwenda mwenyewe dukani.Hawa majama n wa kwel au kama wakina kupatana maana kupata niliwahi kulizwa kule