Samson Mwigamba una nini na Dr Slaa?

Lia na baba yako aliyekuwa anamalizia school fees yako kwenye kimpumu.
 
mi nadhani shukrani sio lazima wala sio kitu cha kuomba.kuna usemi tenda wema nenda zako usingoje shukrani.

slaa ametekeleza jukum na wajibu wake,na mwigamba ametii kiu yake kwa kutoa maoni yake kuhusu uchaguzi wa arumeru.

si lazima watu wote waelewane kwa sababu sisi ni binadam.

hata wewe mleta mada si lazima ukubaliane na mawazo yangu wala sikulazimishi.

utakubaliana na facts zilizopo kwenye uchambuzi tu,naomba ndio iwe mwongozo wako.
 
hii thread ina uhusiano wowote na TUNTEMEKE au na MZITO KABWELA?

Kuna baadhi ya watu wakilala wakiamka wanafikiria namna ya kuanzisha ugomvi miongoni mwa viongozi na wanachama wa chadema.
Kuna watu wanatafuta kila mbinu kuweka tension miongoni mwa wanachadema bila sababu yoyote ya msingi.

Kwakuwa tunaelekea kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la arusha mjini, hii inaweza kuwa ndio mwanzo wa chokochoko kama ilivyokuwa wakati wa uchaguzi mdogo wa arumeru mashariki.
 

watu wengine bana ni wanafiki , wazandiki wakubwa, na nyie ndo mnaotumiwa kuharibu upinzani, makala hiyo nimeisoma na kamtaja dr. Slaa zaid ya mara 3, ww umesoma tz daima ipi km co umbeya?? Nawachukia sn watu jamii yako, cku zote mnawaza kubomoa, chadema ipo imara sana, na utumbo wako hautafanikiwa! Aibu yako
 
duh kama ni hivyo tunavirus vingi ndani ya chadema inabidi visafishwe vinginevyo mwigamba hutapata kura za maoni mwaka 2015 jimboni kwangu
 
hilo jina lake ni gamba tosha,usipate shida ndugu yangu hao watu ni wale wanaobishana na wakati,kitu ambacho ni kigumu na hakitowezekana daima.mwigamba ni gamba na atakufa na gamba lake
 
msihangaike saana, mabadiliko yanahitajika. ccm is worse than evil. fikiri mwanaoaliwa mvuta bangi mali mnazolimbikiza nani atakula iwapo akaunti zeu zipo new jersey.
 
Slaa ndo president aliye mioyoni mwa Watanzania walalahoi so hata asipotajwa,mioyo yetu imemnukuu vya kutosha sema kilichobaki ni kusubiri tu 2015
 
Si rahisi namna hiyo, mimi naamini chama chochote kitakachofaulu kukamata dola baada ya CCM kupigwa kumbo kitafanya vizuri zaidi ya hii CCM, iwe CHADEMA au chama chochote kwani CCM ya sasa imejisahau kiasi cha kutomwogopa Mungu wala shetani na wanadhani wao ndiyo wenye hati miliki ya utawala na kamwe hawaondosheki! sasa ikitokea chama kingine kikafaulu kuwashawishi watu kuiondoa na wakafanya hivyo chama hicho kitajitahidi kuwa makini zaidi ili yasiwakute kile kilichowakuta CCM.
Mwisho kabisa ni kwamba hilo likitokea, wananchi watakuwa na kujiamini zaidi katika uamuzi wa kumchagua nani awatawale; kwa maana hiyo kukiondoa iwe CHADEMA au chama chochote kiatachoingia madarakani endapo kitajisahau.
 
Wewe UNAONA MBALI SANA ! Nimekupa jina jipya , kuanzia leo utaitwa DARUBINI KALI PLUS PLUS !
 
Dah! kuna watu wenye kumbukumbu za mbali! huyu aliekumbuka huu uzi na kuibua wakati huu ni mtu wa hatari.Anafaa kuwa mchambuzi wa taarifa za kiintelijensia.
 

living staements ulisema na sasa tumeyaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…