Samson Mwigamba: CHADEMA kuna ubaguzi

sikilizen niwaambie; mnapokua wapinzan ni lazima yafuatayo yawepo
1.muwe na umoja wa kweli as one system regardless hupendi,
2.Ni lazima muwe wavumilivu
3.Lazima ukubali kusubili kama mmepata kiongoz ambae ameonesha chanya kufikia lengo la kuiangusha chama tawala,kwa sababu kuna madhara ,makubwa sana ya kubadilisha uongozi wakat mmnaona mnaelekea ushindi, nakubali safu ya Mbowe,slaa,zitto,lissu na mnyika imepangwa ikapangika,wamefaulu kuwadhibiti ccm na propaganda zao, mfano ukawabasili saiv,ukamuweka mtu ambae hajazoea mikiki mikiki na uzush wa ccm lazima cdm ife, siwafichi mimi ule uzushi wa ugaidi wa lwakatare nilijua cdm ndo imeisha,lakin kutokana na safu nzuri ya uongoz,sikuamini kabisaaaaaa! Mi naona hata kama muda umekwisha wa kukaa madarakani mbowe,slaa,zitoo,mnyika,lissu wabaki tu coz tumekaribia ushindi jamani,huu muda si wa kugombana eti katiba inasema ooh we mwigamba tulia mchukue dola kama uongoz utapata tu,umetumwa?
 
Kinachomuumiza Mwigamba ni kwamba ameshitukiwa kabla hajamaliza kazi aliyopewa na Magamba
 
Sisi wengine ngoja tuwe wasomaji tu.
 
usishangae, hawa kina Mwigamba hata ndani ya ANC ya kina Oliva Tambo na Mzee Madiba walikuwepo. na hata ndani ya ccm ndo kabsaaaaaa wamejaa kibao ila wanadhibitiwa na system. kwa kawaida watu wa namna hii ni waganga njaa, wabinafs na walafi wa madaraka. CDM ni zaidi ya chama cha siasa, ni movement ya Ukombozi, chadema ni Mkuki wa Taifa, ni a democratic guerrilla group. sasa movement ya namna hiyo haiwezi kukaa chini kila wakati KUFKIRIA kugawa vyeo. tupo msituni tunapiga vita vya ukombozi, vita nyingine tena ya kugombea vyeo ya nini? ngoja kwanza tumalize kazi mbona mavyeo yatakuwepo kibao tu wandugu?! wee Mwigamba na hao unaowasemea wamekutuma?
 
haya mambo ya kubaguana yameshakuwa kelo sasa chadema lazima waweze kujitathimini vitendo vyao vya kuwanyima watu uhuru wa kuzungumza.
 
kamradi kenu kanaanza kuingia mchanga taratibu, mwishowe chali..

kaka hii SACOS lazima itakufa naona mbinu zao karibu zote zinaumbuka taratibu tena mchana kweupe.
 
kaka hii SACOS lazima itakufa naona mbinu zao karibu zote zinaumbuka taratibu tena mchana kweupe.
Acha kabisa mkuu, naona mradi wa jamii ya kilimanjaro unakosa mashabiki..makao makuu sasa yatahamia rombo na si mtaa wa ufipa tena..
 
Mradi unaoingia mchanga ni wa mafisadi.Wadanganyika wameshaanza kuzinduka.
Hata wale waliokuwepo kipindi cha nuhu walikua wakiambiwa gharika inakuja wanabisha, sasa wewe endelea kushangaa , kama una shares mkuu nakushauri udai chako mapema maana kamradi kanakosa watoa jasho mda si mrefu, misukule inafufuka..
 
Si aende CCM mbona CCM wameboresha demokrasia yao mwenyekiti wao hapo awali alikuwa anasimama na kivuli kwenye chaguzi mbalimbali kwa sasa ni marufuku kumpinga mwenyekiti wa CCM.Ina maana hajavutiwa na demokrasia hii ya CCM mpaka aendelee kuig'ag'ania CHADEMA ambayo haina demokrasia.
 

mwigulu na wasira walisema wako wengi; labda ndiyo kifo waliyotabiria,,,, mla rushwa mkubwa aitwe kijana wa mwigulu si mwennyekiti tena
 
ni afadhali chama cha wachagga kuliko chama cha majambazi ya kodi za wananchi, majangili ya pembe za ndovu na wauza sembe
hapo hakuna afadhali mkuu, hiyo jamii inasifa inayofahamika vizuri inapokuja kwenye maswala ya fedha
 
Watanzania tuache siasa za maji taka za kuhujumiana na kukashfiana ili kupata uongozi ni vizuri tufuate taratibu na kanuni tulizokubalia huwezi hukawa kiongozi ndani ya chama alafu ukawa unalalamika pembeni wakati kuna utaratibu mmejiwekea ni heri mwigamba hukiri umefanya kosa wewe kama kiongozi hukutakiwa kufanya hivo. Je endapo wewe ndio ungekuwa mwenyekiti alafu akatokea mtu na kuanza kukushutumu nje ya vikao halali ungekubali?
 

kuna kitu humu jf watu wengi hawakijui. Hawa vijana wsa ccm wanaopost mambo yanayohusu chadema kila siku na kila saa ni walinzi wa ofisi za ccm ( Dar na Dom). Wanapokezana kupost sambamba na shift zao za ulinzi, hata mambo wanayoyaandika ni yaleyale kila siku na karibu kila thread. Na hayo ni maelekezo ya kitengo cha propaganda cha chama. Hakuna sababu ya kuhangaika nao!!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…