Sample ya barua ya talaka

Hahaha kumbe talaka ina signature kama cheti cha ndoa khaa. Ila kweli sijawahi ona talaka na ujanja wote huu.
Andika talaka.
Nenda stationary ukatoe copy ziwe tatu, hapo utakua umemaliza mchezo, na hizo ndio talaka 3.

Matumizi yake ni kua moja atasaini na kukuachia wewe, moja ya kwake na ya mwisho atawapa wazazi/walezi wake.
 
Hahaha kumbe talaka ina signature kama cheti cha ndoa khaa. Ila kweli sijawahi ona talaka na ujanja wote huu.
Anasaini "receiver" kama "acknowledgement" ili asije kukataa huko mbele ya safari kua hakupewa!!
 
Vipi miss chagga ndoa yako ilinusurika?
 
Last edited by a moderator:
Mpaka leo bado hujaandika hiyo talaka tu?
 
Talaka huwa hivi. Kuanzia Leo wewe c mke wangu. Hiyo ni moja au nimekuacha nayo ni talaka moja. Au unajuwa wewe ni kama mama yangu nayo ni talaka. Hakuna Talaka tatu kwa mara moja

nakukubali au nawewe umeshawahi KUACHAAAAAAA!
 
Mbona hatari hii.... Kumbe ndio maana siku hizi supu ya mbuzi hata sio nzuri kumbe wanakula mifuko ya rambo... Na maboksi ya juisi za bakhresa..... Alaaaaaaah
ndiyo ujue ukienda bar uwe unauliza huyu mbuzi wa ndani au wa nje? kama wa nje ujue ladha yake ni mbaya
 

Hii ndiyo sample sahihi nadhani. mkuu uko deep, kama vile unauzoefu wa kutoa haya makitu. Huwa hainaga signature mwishoni?
 

JF kazi kweli kweli
 
Wasiliana na Membe, huenda akawa ameisha ipata ile ya EAC na akupe copy ukadese.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…