Samia una wakati mgumu wa uongozi

Samia una wakati mgumu wa uongozi

viking

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,286
Reaction score
1,420
Watanzania mkae mkijua Rais Samia anapitia kipindi kigumu sana cha uongozi. Kitendo cha kuwarudisha Dkt. Phillip Mpango na Majaliwa Ikulu kwenye nafasi ya uongozi ni kitendo cha aibu sana.

Hawa wawili ni viongozi wa juu sana kitaifa ambao wanastahili kupumzika nyumbani na kula pensheni pensheno
 
Watanzania mkae mkijua Rais Samuya anapitia kipindi kigumu sana cha uongozi .Kitendo cha kuwarudisha DR Phillip Mpango na. Majaliwa ikulu kwenye nafasi ya uongozi ni kitendo cha albu sana.Hawa wawili ni viongozi wa juu sana kitaifa ambao wanastahili kupumzika nyumbani na kula pensheni pensheno
Wamerudi wakiwa katika nafasi ya ushauri kwa uzoefu wao wa kuwa sehemu muhimu ya miaka yake minne aliyoongoza nchi.

Hakuna Rais duniani asiyekuwa na team ya washauri.

Ukijifanya kichwa ngumu kila kitu mhusika mkuu ni wewe utakufa mapema kwa presha.
 
Haya madaraka ya kupora uchaguzi kwa kumwaga damu za watanzania kwa mtutu wa bunduki ni tabu tupu!, bora asingegombea kabisa kwenye ule uchaguzi, heshima yake ingeendelea kudumu na kukumbukwa kwa mema kwa vizazi vyote.
 
Watanzania mkae mkijua Rais Samia anapitia kipindi kigumu sana cha uongozi. Kitendo cha kuwarudisha Dkt. Phillip Mpango na Majaliwa Ikulu kwenye nafasi ya uongozi ni kitendo cha aibu sana.

Hawa wawili ni viongozi wa juu sana kitaifa ambao wanastahili kupumzika nyumbani na kula pensheni pensheno
Huyu unadhani ana aibu? Huyu mtu hana elimu. Mtu asiyekuwa na elimu hana aibu pia. Wewe humuoni hana hata habari, ndio kwanza anazidi kujisifu kwa mauji.
 
Hivi toka awaambie kina Kapombe na Mwamnyeto kuhusu hizo teuzi, kuna taarifa rasmi ya kimaandishi ya Ikulu imetolewa mpaka sasa?
 
MATAGA walikuwa na UJINGA kama wa kwako
na taga Moja linaitwa Y. Job. N. Lilisema litamlazimisha take asitaje.

Nakukumbusha tu tuliko toka

[/QUOTE
KABLA YA 2030 lolote linaweza likatokea.
SIRI YA KESHO YA KILA MTU ni fumbo

,nani kaiona kesho?

nani anaweza kujivuna juu ya kesho,..?
NANI ANAJIPA PUMZI YA UHAI yeye MWENYEWE kwa nguvu zake..mwenyewe?

ukitambua hilo kuwa binadamu wewe huna uwezo wa kuongeza siku zako za kuishi duniani au kizuia kifo chako...

utakuwa mnyenyekevu..hutaonea watu..utaheshimu watu...una zaidi UTAMUOGOPA MUNGU aliyeshikilia uhai wako.
 
KABLA YA 2030 lolote linaweza likatokea.
SIRI YA KESHO YA KILA MTU ni fumbo

,nani kaiona kesho?

nani anaweza kujivuna juu ya kesho,..?
NANI ANAJIPA PUMZI YA UHAI yeye MWENYEWE kwa nguvu zake..mwenyewe?

ukitambua hilo kuwa binadamu wewe huna uwezo wa kuongeza siku zako za kuishi duniani au kizuia kifo chako...

utakuwa mnyenyekevu..hutaonea watu..utaheshimu watu...una zaidi UTAMUOGOPA MUNGU aliyeshikilia uhai wako.
 
Watanzania mkae mkijua Rais Samia anapitia kipindi kigumu sana cha uongozi. Kitendo cha kuwarudisha Dkt. Phillip Mpango na Majaliwa Ikulu kwenye nafasi ya uongozi ni kitendo cha aibu sana.

Hawa wawili ni viongozi wa juu sana kitaifa ambao wanastahili kupumzika nyumbani na kula pensheni pensheno
Damu za waliokufa Oct 29,2025 zinamlilia.!!!
 
Huyu unadhani ana aibu? Huyu mtu hana elimu. Mtu asiyekuwa na elimu hana aibu pia. Wewe humuoni hana hata habari, ndio kwanza anazidi kujisifu kwa mauji.
Mlitaka kuichafua nchi iwe uwanja wa vita iwe kama Liberia ya miaka ya 2000 mwanzoni kwamba mwenye nguvu ndio atakayekula siku hiyo. Kwamba mwenye bunduki ya kisasa ndio atakayepata kila anachokitaka.

Mmetiwa adabu vizuri sana.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom