Sasa mbona mkuu wako anaogopa kufanya sherehe kitaifa kwa kuwaangusha maadui zake oct29 🤣🤣🤣Mlitaka kuichafua nchi iwe uwanja wa vita iwe kama Liberia ya miaka ya 2000 mwanzoni kwamba mwenye nguvu ndio atakayekula siku hiyo. Kwamba mwenye bunduki ya kisasa ndio atakayepata kila anachokitaka.
Mmetiwa adabu vizuri sana.
Ye ni kusema tumepitia kipindi kigumu tumepitia kipindi kigumu..