GE2025 Samia, umeshinda Urais washa internet sasa!

GE2025 Samia, umeshinda Urais washa internet sasa!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Na mimi nilikuwa najiuliza hivihivi.
 
***** dictator uchwara anaogopa mpaka kivuri chake, hii ni battle ya muda mrefu Ila kilichofanyika wamejua hawana hizo nguvu wanazofikiria
 
Tunashukuru Mungu nchi imepata Rais, na maandamano yameisha. Sasa ni Rais kuapishwa, kuunda serikali na itakayowatumikia watu wote kwa bidii...
 
Tunashukuru Mungu nchi imepata Rais, na maandamano yameisha. Sasa ni Rais kuapishwa, kuunda serikali na itakayowatumikia watu wote kwa bidii...
Mwambiye tumempigia kura wote na kashinda kwa asilimia 98 basi awashe intarnet tatizo nini?
 
HOFU ya nini ?si mmekwisha Tangazana kama washindi ?basi washeni internet!

Umoja wa mataifa nao wasisitiza haki ya mawasiliano ya intaneti

31 October 2025

Geneva, Switzerland

UN Human Rights Office spokesperson Seif Magango

UN Rights Office Alarmed Over Deadly Post-Election Protests in Tanzania



View: https://m.youtube.com/watch?v=45GaVG2O2u0

UN Human Rights Office made the following comment on Friday at the bi-weekly press briefing in Geneva.

“We are alarmed by the deaths and injuries that have occurred in the ongoing election-related protests in Tanzania,” he said.,
 
Mimi niliwaambia huu ukimia wa CCM na upo kwasababu bado wanaangalia upepo upo vipi wakiona wanaweza kuuzima ndo wanatangaza rais wao cha kufanya achaneni sijui na kuandamana kwa kelele hakuwezi kuwasaidia mlitakiwa mguse sehemu maalumu ambazo zingeweza kuwamsha hisia zao kwa haraka sehemu namba one ikulu nendeni mkaweka kelele zenu uko mkaaribu vitu kule , sehemu ya pili bunge , sehemu ya tatu kwenye biashara au makampuni ya watu ambao wanaaminika wanadeal sana na serekali mngeweza kufanya ivi mlikuwa mumetangaza ushindi mapema sana ila mliweka wizi mbele

Hata ivo hakuna kushindwa nafasi zipo za kuweza kutetea nchi yenu nafasi izo deal na wafanya siasa maarufu nchini kwa kuwaunguzia nyumba zao wengine kuwateka icho kitu kita create presha sana kwa rais
 
P

Huyu ni mwepesi mnoo, na alikua amekwishakubali mziki ,sema tuna Jeshi la kikuma sana, especially CDF
Ni vigumu kwa mapinduzi ya kiraia kukamilika ndani ya siku tatu. In recent history, successful popular uprisings elsewhere (Egypt, Nepal, Madagascar, etc) zimedumu kwa takribani wiki moja au zaidi.
 
Back
Top Bottom