Samia ni raisi aliye ogopa sana kuchafuka, kwa ndani alitumia wasio julikana
Huko nje sasa kumeanza kuchangamka na yupo out of control sijui atafanya nini
Karata zake zote ndani kasha zicheza iwe utekaji, utesaji, ufiraji na mwisho uuaji, japo bado
hazijazaa matunda nje nako wameanza kumkaba koo.
Katikati ya hayo yote anamtambulisha mchezaji mwingine anaitwa udini kupitia
mashehe ubwabwa na watumishi feki, anajaribu kulitenga kanisa Catholic zidi ya
Wakristo wengine, swali la mwisho atafanikiwa!?