PostGE2025 Samia ulichokiogopa sana ndicho kimekutokea

PostGE2025 Samia ulichokiogopa sana ndicho kimekutokea

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
Angeweza kuwa Rais bora sana kutokea TZ, tena kuliko wengi walipigiwa kura, ila hakutaka na mda haurudi nyuma.
Huwa napenda kuuliza hili swali la raisi Bora. Mnatumia factors zipi kujua raisi bora huku dunia ya tatu iliyojaa umaskin?
 
Huwa napenda kuuliza hili swali la raisi Bora. Mnatumia factors zipi kujua raisi bora huku dunia ya tatu iliyojaa umaskin?
Umaskini unazuia kujua kiongozi bora? Uhitaji akili nyingi kujua kiongozi mbaya, angalia maamuzi anayofanya dhidi ya anaowaongoza.
 
Umaskini unazuia kujua kiongozi bora? Uhitaji akili nyingi kujua kiongozi mbaya, angalia maamuzi anayofanya dhidi ya anaowaongoza.
Kama bado watu ni maskini wa kjutupwa huo uongozi Bora unakua na faida gani? Huo uongozi bora unakua kwenye nini? Kwani lengo la kuchagua kiongozi aongoze ni lipi kama sio kuinua ustawi wa watu wake?
 
Udini gani kaka, hamna kitu hapo ni kuhangaika tu.
Raia hiyo hoja walishaikataa toka mwanzo.
View attachment 3511363
Alioua hawakutambulika dini zao, na wameuliwa na kuzikwa kama mbwa!

Hawa mashehe hawakufiwa hata na ndugu au waumini?

Hawa mashekhe huu upande wanaokimbilia naamini kabisa sio upande wa Mungu, wala tusiogope!
 
watu mnaichukulia poa hii hoja ya udini lakini ukizama ndani zaidi kuna kundi linauunga mkono hadi unaweza kutukana mtu bure!

Kuna kundi la Waislam hasa wale wanaoshinda msikitini na wale wasio na shughuli maalumu za kipato wameibeba kwa nguvu zote hoja hii na wanaiambukiza kwa wale kina mama na mabinti wanaowafundisha quarani!

Hawa mabinti na kina mama wanaovaa nikabu na ambao wana elimu mbalimbali huwaambii lolote kuhusu hii agenda

Wale vijana wanaoshinda msikitini na ambao elimu yao ni ya elimu mbalimbali hii agenda wameibeba kama ilivyo

Hili jambo ni kubwa na linapaswa kukemewa hasa hasa kwa hawa walimu wa madrasa! Hawa wanawalisha sumu mbaya ndugu zetu ipo siku tutachukiana.

Ukisikia watu wanaanza kumuuliza makamu wa Rais kana kwamba hawajui Boss akiongea amemaliza, ujue kuna hatari inatafutwa
Kwenye hayo mafundisho yao pia kuna kipengele cha Mwanamke hatakiwi kuwa kiongozi. Hii ndio itakuwa neutralisation reagent ya hoja ya udini. Contradiction over contradiction😀
 
Samia ni raisi aliye ogopa sana kuchafuka, kwa ndani alitumia wasio julikana

Huko nje sasa kumeanza kuchangamka na yupo out of control sijui atafanya nini

Karata zake zote ndani kasha zicheza iwe utekaji, utesaji, ufiraji na mwisho uuaji, japo bado
hazijazaa matunda nje nako wameanza kumkaba koo.

Katikati ya hayo yote anamtambulisha mchezaji mwingine anaitwa udini kupitia
mashehe ubwabwa na watumishi feki, anajaribu kulitenga kanisa Catholic zidi ya

Wakristo wengine, swali la mwisho atafanikiwa!?
Bunge lingekuwepo chap ni kura ya kutokuwa na imani na sirikali taifa lipone.
 
Samia ni raisi aliye ogopa sana kuchafuka, kwa ndani alitumia wasio julikana

Huko nje sasa kumeanza kuchangamka na yupo out of control sijui atafanya nini

Karata zake zote ndani kasha zicheza iwe utekaji, utesaji, ufiraji na mwisho uuaji, japo bado
hazijazaa matunda nje nako wameanza kumkaba koo.

Katikati ya hayo yote anamtambulisha mchezaji mwingine anaitwa udini kupitia
mashehe ubwabwa na watumishi feki, anajaribu kulitenga kanisa Catholic zidi ya

Wakristo wengine, swali la mwisho atafanikiwa!?
Wakristo sio wajina hata waislam wenyewe wanakili
 
Tunakoelekea kwakweli Mungu atusaidie ubaguzi wa udini upo wazi hadi serikalini wakristo hasa wakatoliki wanapitia kwenye changamoto kubwa!!
 
Katikati ya hayo yote anamtambulisha mchezaji mwingine anaitwa udini kupitia
mashehe ubwabwa na watumishi feki, anajaribu kulitenga kanisa Catholic zidi ya Wakristo wengine.
Mwambieni atubu mapema kabla muda haujaisha..
 
Tunakoelekea kwakweli Mungu atusaidie ubaguzi wa udini upo wazi hadi serikalini wakristo hasa wakatoliki wanapitia kwenye changamoto kubwa!!
Hakuna Udini wala nini hao ni matapeli wa kisiasa wanajaribu kipindisha story.
 
watu mnaichukulia poa hii hoja ya udini lakini ukizama ndani zaidi kuna kundi linauunga mkono hadi unaweza kutukana mtu bure!

Kuna kundi la Waislam hasa wale wanaoshinda msikitini na wale wasio na shughuli maalumu za kipato wameibeba kwa nguvu zote hoja hii na wanaiambukiza kwa wale kina mama na mabinti wanaowafundisha quarani!

Hawa mabinti na kina mama wanaovaa nikabu na ambao wana elimu mbalimbali huwaambii lolote kuhusu hii agenda

Wale vijana wanaoshinda msikitini na ambao elimu yao ni ya elimu mbalimbali hii agenda wameibeba kama ilivyo

Hili jambo ni kubwa na linapaswa kukemewa hasa hasa kwa hawa walimu wa madrasa! Hawa wanawalisha sumu mbaya ndugu zetu ipo siku tutachukiana.

Ukisikia watu wanaanza kumuuliza makamu wa Rais kana kwamba hawajui Boss akiongea amemaliza, ujue kuna hatari inatafutwa
Kuna illusion ya hao wanaunga mkono hoja za udini wanayo hua wanafikiri kua wao watakua salama tukianza kutifuana

Wanajidanganya sana
 
Mfa maji haishi kutapatapa.

She is gasping for air right now, ni swala la muda tu.
 
watu mnaichukulia poa hii hoja ya udini lakini ukizama ndani zaidi kuna kundi linauunga mkono hadi unaweza kutukana mtu bure!

Kuna kundi la Waislam hasa wale wanaoshinda msikitini na wale wasio na shughuli maalumu za kipato wameibeba kwa nguvu zote hoja hii na wanaiambukiza kwa wale kina mama na mabinti wanaowafundisha quarani!

Hawa mabinti na kina mama wanaovaa nikabu na ambao wana elimu mbalimbali huwaambii lolote kuhusu hii agenda

Wale vijana wanaoshinda msikitini na ambao elimu yao ni ya elimu mbalimbali hii agenda wameibeba kama ilivyo

Hili jambo ni kubwa na linapaswa kukemewa hasa hasa kwa hawa walimu wa madrasa! Hawa wanawalisha sumu mbaya ndugu zetu ipo siku tutachukiana.

Ukisikia watu wanaanza kumuuliza makamu wa Rais kana kwamba hawajui Boss akiongea amemaliza, ujue kuna hatari inatafutwa
Kipindi ambacho Tanzania ina mwamko mkubwa ni sasa, hii haitafaulu kama zamani... Itaenda na kuzima yenyewe. Hata hao hao unaowasema, ukikaa naona vizuri kuna muda wanaumia na kulaumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom