GE2025 Samia: Uendeshaji wa nchi, hakuna majaribio, CCM ndio yenye uzoefu

GE2025 Samia: Uendeshaji wa nchi, hakuna majaribio, CCM ndio yenye uzoefu

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,234
Naona kama Samia anawatisha wapinzani wake! Hata hao wapinzani wanauwezo wa kuongeza nchi na kupata uzoefu na kuleta maendeleo makubwa kwenye nchi

Mbona wale CHADEMA mnawaletea figisu kila kukicha? Kama nyinyi mnajiona mnauzoefu, wekeni mpira kati kila mtu ashinde mechi zake sasa
======================

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Wilaya ya Bunda kutafakari kwa makini kabla ya kufanya maamuzi ya kisiasa, akisisitiza kwamba uongozi wa nchi unahitaji uzoefu na uwezo wa kusimamia masilahi ya wananchi.

“Ninataka niwaambie jambo moja kwamba katika uendeshaji wa nchi, hakuna majaribio. Unampa nchi yule ambaye unamuamini ataiendesha vyema na masilahi ya wananchi yatapatikana,” amesema Dkt. Samia.

“Mkiwapa wengine au serikali au jimbo wanakuja kuwafuja, wanakuja kuwapoteza kwasababu wakiingia kwanza ni kujifunza, lakini utakapompa jimbo asiye Chama Cha Mapinduzi anakwenda kuongea na nani? Anakwenda kumuomba barabara nani? Anakwenda kumuomba maji nani? Kwasababu mwenye serikali ni Chama Cha Mapinduzi, yeye ni mpinzani
 
State machinery ni watumishi wa umma na vyombo vya usalama hiyo ccm ni takataka inaondolewa asubuhi na watumishi wa umma wataendelea kupiga mzigo kama Kawa Kwa kusaidiana na vyombo vya usalama ambavyo wao ccm wana vi misuse.
 
Watanganyika wameshakukataa, usilazimishe Urais wa kuchaguliwa siyo fungu lako.
 
Naona kama Samia anawatisha wapinzani wake! Hata hao wapinzani wanauwezo wa kuongeza nchi na kupata uzoefu na kuleta maendeleo makubwa kwenye nchi

Mbona wale CHADEMA mnawaletea figisu kila kukicha? Kama nyinyi mnajiona mnauzoefu, wekeni mpira kati kila mtu ashinde mechi zake sasa
======================

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Wilaya ya Bunda kutafakari kwa makini kabla ya kufanya maamuzi ya kisiasa, akisisitiza kwamba uongozi wa nchi unahitaji uzoefu na uwezo wa kusimamia masilahi ya wananchi.

“Ninataka niwaambie jambo moja kwamba katika uendeshaji wa nchi, hakuna majaribio. Unampa nchi yule ambaye unamuamini ataiendesha vyema na masilahi ya wananchi yatapatikana,” amesema Dkt. Samia.

“Mkiwapa wengine au serikali au jimbo wanakuja kuwafuja, wanakuja kuwapoteza kwasababu wakiingia kwanza ni kujifunza, lakini utakapompa jimbo asiye Chama Cha Mapinduzi anakwenda kuongea na nani? Anakwenda kumuomba barabara nani? Anakwenda kumuomba maji nani? Kwasababu mwenye serikali ni Chama Cha Mapinduzi, yeye ni mpinzani

IMG_20251009_170113.jpg


?! ✨✨
 
Sasa upinzani wanaongelewa vipi kwenye kampeni ikiwa hakuna upinzani ni CCM tu
 
Uzoefu wa kuifilisi nchi, uzoefu wa kuiba..

Mali zilizopo nchini, muda toka tumepata uhuru na maendeleo yetu ni vitu viwili tofauti.
 
Miye nawaza hivi hakuna inchi inayoweza tupokea watanzania tukaanzishe movement zetu kama mafunzo ya kivita ya kijeshi tupate tuliwa uhamishoni arafu nadae tuje chukua Tanganyika yetu maana hawa mbogamboga washatuona mazombi siye
 
Toka Samia awe rais na kaongoza vizur tu nimeamin kuwa rais siyo kaz sana kama tulivyokuwa tunaaminishwa na yule mshamba kutoka chato
 
Back
Top Bottom