GE2025 Samia: Tulipoingia tukamkuta Mzee Nnauye Kamati Kuu, akasema eeh, Karume kaleta haya mapapai! Kwahiyo, ningezubaa kidogo ndiyo hivyo tena

GE2025 Samia: Tulipoingia tukamkuta Mzee Nnauye Kamati Kuu, akasema eeh, Karume kaleta haya mapapai! Kwahiyo, ningezubaa kidogo ndiyo hivyo tena

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, Septemba 24, 2025 aliwasimulia wananchi wa Mtama, mkoani Lindi, namna alivyoingia Kamati Kuu ya chama hicho baada ya kukutana na baba yake Nape Nnauye.

“Lakini mama huyu ana mwanawe anaitwa Nape Nnauye… ngoja niwapeni hadithi kidogo,” alisema Samia.

''Nilipoingia mara ya kwanza Kamati Kuu, nimekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu, nikaingia Kamati Kuu. Tulipoingia, tukamkuta Mzee Nnauye yuko ndani ya Kamati Kuu. Sasa sisi tumeingia si vichinchili, tuko pale, basi Mzee anazubaa anatuangalia tu, anasema, ‘eeh! Karume kaleta haya mapapai haya!’''

Samia aliongeza kwa utani kwamba, “Kwahiyo, ningezubaa kidogo ndiyo hivyo tena… Kwahiyo Nape mwanangu jamani!”


 
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, Septemba 24, 2025 aliwasimulia wananchi wa Mtama, mkoani Lindi, namna alivyoingia Kamati Kuu ya chama hicho baada ya kukutana na baba yake Nape Nnauye.

“Lakini mama huyu ana mwanawe anaitwa Nape Nnauye… ngoja niwapeni hadithi kidogo,” alisema Samia.

''Nilipoingia mara ya kwanza Kamati Kuu, nimekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu, nikaingia Kamati Kuu. Tulipoingia, tukamkuta Mzee Nnauye yuko ndani ya Kamati Kuu. Sasa sisi tumeingia si vichinchili, tuko pale, basi Mzee anazubaa anatuangalia tu, anasema, ‘eeh! Karume kaleta haya mapapai haya!’''

Samia aliongeza kwa utani kwamba, “Kwahiyo, ningezubaa kidogo ndiyo hivyo tena… Kwahiyo Nape mwanangu jamani!”


Kumbe ni papaya🙌🏿🙌🏿🙌🏿😂😂😂😂🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Huyu mama mimi kwingine nampinga lakini hapa tu ndio nampendea! Yani kachangamka ni mama wa pwani hasa.

Ana maneno flani ya mwambao ambayo akiongea lazima mtu ufurahie.

Mimi nimependa sana hapo aliposema angezubaa kidogo, baba yake Nape ange...

 
Huyu mama mimi kwingine nampinga lakini hapa tu ndio nampendea! Yani kachangamka ni mama wa pwani hasa.

Ana maneno flani ya mwambao ambayo akiongea lazima mtu ufurahie.
Kawaida ukiwa babu au bibi wewe lazima uwe na watoto kama wote,wajukuu kama wote,vitukuu kama wote,huenda na wajukuu wa vitukuu,hivyo kubagua nisawa na kupendelea nisawa na kutafuta laana.
 
Hili nalo ni la kufurahia??aisee. Una tatizo la kisaikolojia
 
Huyu mama mimi kwingine nampinga lakini hapa tu ndio nampendea! Yani kachangamka ni mama wa pwani hasa.

Ana maneno flani ya mwambao ambayo akiongea lazima mtu ufurahie.

Mimi nimependa sana hapo aliposema angezubaa kidogo, baba yake Nape ange...

Mkuu usharamba asali nn? Mbn huyu mama siku hz kama unamfurahia hivi, wakati hana hata chembe ya ushawishi.
 
Back
Top Bottom