Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
“Tunakwenda kwenye Uchaguzi Mkuu. Nawaomba sana ndugu zangu, twende tudumishe amani na utulivu. Uchaguzi siyo vita, ni tendo la kidemokrasia – watu kwenda kwenye utaratibu uliowekwa, kuweka kura zetu, kurudi nyumbani na kutulia ili nchi ibaki salama.
Si kila mara kushika silaha kunaleta suluhu ya maana. Amani na utulivu wa nchi yetu ni jambo muhimu kuliko yote. Hutaki kishindo? Kapige kura, kisha rudi nyumbani na utulie,” alisema Rais Samia.
Si kila mara kushika silaha kunaleta suluhu ya maana. Amani na utulivu wa nchi yetu ni jambo muhimu kuliko yote. Hutaki kishindo? Kapige kura, kisha rudi nyumbani na utulie,” alisema Rais Samia.