Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 5,032
- 15,569
Yohana 11: 49 Mmoja wao aliyeitwa Kayafa, aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo, akasema, “Ninyi hamjui kitu chochote! 50 Hamjui kwamba ni afadhali mtu mmoja afe kwa ajili ya watu, kuliko taifa lote liangamie?”
Maneno hayo ya Kayafa ndio SOP ya mataifa mengi duniani, mifumo ikiona mambo yanazidi kuwa mabaya huwa na machaguo mawili, nchi nzima au mtu mmoja.
Maneno hayo ya Kayafa ndio SOP ya mataifa mengi duniani, mifumo ikiona mambo yanazidi kuwa mabaya huwa na machaguo mawili, nchi nzima au mtu mmoja.