Hiyo tunaita ni Inferiority Complex kwa wote kwako na kwa rais.Mama anahuruma sana, amefanya mazuri kwa viongozi wenu, wengine amewakuta lockup amewatoa, na faini mmerudishiwa lakini pamoja na yote bado mkaendelea mnamfanyia dhihaka, dharau na kujichukulia maamuzi mnavyotaka kwakuwa tuu huyu ni mwanamke acha tufanye tunavyotaka. Sasa hiyo ndiyo shukurani!!! Ninyi hata awafanyie wema gani huyu mama mtaendelea kumchukia, kumzarau na kujichukulia maamuzi.
Mimi acha niseme ya moyoni, chama kikiwa chini ya viongozi wa kichagga sitegemei kuja kushika dola, wengi wenu mnaasili ya ujeuri na ukorofi sasa mmpewe dola kweli!! Si mtatumaliza kabisa.
Ili chadema iendelee kuwepo na kufika mbali na hata kushika dola yawapasa mkivuruge, toeni viongozi wote wa kichagga safisheni kabisa mwanze upya na makabila mengine kama vile wasukuma, wazigua, wanyakyusa, wanyamwezi, waha na akina tundu lisu n.k utaona kama hamjafika mbali na hata kushika nchi.
Kwani Mbowe anashutumiwa kwa kosa alilotenda lini? -labda kama unafahamu kuwa tangu enzi za Nyerere alitenda jinai ! Tujuavyo sisi jinai hii ni wakati wa awamu ya 5Sawa kwahiyo Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli wote hawakuona jinai ya Mbowe kaja Samia hata hajamaliza miezi mitatu kaiona? Think!
hata kukula huko nyumani kwako mat...koni kwako nitaachaAkifungwa utaacha tabia yako kuwa kikojozi?!
Kwaiyo ni ujanja kumpotezea mtu mda na kumchosha?nyie siasa hamuijui hapo mbowe hafungwi kinachofanyika ni kumchosha tu na kumpotezea muda baaadaee anaachiwa watu washafanya yao wala msifikiri anafungwa siasa ni kazi kama kazi zingine tu
Samia kairithi na kujihakikishia? Hakuwa na option nyingine zaidi ya kumfunga? Ndio maana nasema uongozi ni karama.Kwani Mbowe anashutumiwa kwa kosa alilotenda lini? -labda kama unafahamu kuwa tangu enzi za Nyerere alitenda jinai ! Tujuavyo sisi jinai hii ni wakati wa awamu ya 5
Jiulize pia kwanini Rais wa nchi na Mkuu wa Polisi walitumia nguvu kubwa kuuaminisha ulimwengu kua Mbowe ni Gaidi wakati mahakama zipo?Tukiacha mahaba ya vyama, au kati ya mtu na mtu kwanini inatumika nguvu kubwa kuiaminisha jamii kuwa Mbowe kaonewa ihali kesi bado inaendelea na anamawakili mahili kupata kutokea nchi hii.
Tuache sheria ichukue mkondo wake na mahakama zifanye kazi yake.
Kaingizwa cha kike na mataga na the gang
Unawakamata wakina Fupi lakini Bin Laden unamwachia atambe?Hajaingilia mahakama labda kama hujui huo mkondo wa sheria ulivyo. Mkondo huu unaanzia kwa vyombo vya serikali kukusanya ushahidi dhidi ya mtuhumiwa. Serikali ikishajiridhisha kuwa ushahidi dhidi ya mtuhumiwa umekuwa wazi ndipo serikali humkamata mtuhumiwa na kumpeleka mahakamani. Serikali haiwezi kupeleka mahakamani mtuhumiwa ye yote kama haijapata ushahidi ulio wazi dhidi yake. Baada ya kumfikisha mtuhumiwa mahakamani, mkondo wa kisheria wa mahakama huanza na hukamilika kwa maamuzi/ hukumu ya hakimu / jaji. Serikali huwa haiingilii huo mkondo (mchakato) wa kisheria wa mahakamani.
hakuna umaarufu anapata huyo jamaa kesi inaisha uchaguzi ushapita sasa mpaka miaka kumi tena mbowe keshazeeka na chadema hoi
FafanuaMbowe kaingia dili na wenye power hajafungwa na wala hana kesi kwa kifupi kawauza Wachaga na chadema kwa nyingine tena.
Ukweli utakuja kuuona 2025 watakapodhurumiana, kwani CCM hawatokubali power sharing, …
Na mbaya ashatoa hukumuSijui hata kichwani mwake alikuwa anawaza nini, hakuna mtu anayemuelewa kwenye hili.
We baba yako angepotezewa muda ungefurahinyie siasa hamuijui hapo mbowe hafungwi kinachofanyika ni kumchosha tu na kumpotezea muda baaadaee anaachiwa watu washafanya yao wala msifikiri anafungwa siasa ni kazi kama kazi zingine tu
Sahiv anavyo haha acha tuSamia kaongeza umaarufu kwa kukubali Mbowe aendelee kusota lupango!
hakuna umaarufu anapata huyo jamaa kesi inaisha uchaguzi ushapita sasa mpaka miaka kumi tena mbowe keshazeeka na chadema hoi
Amekalia au anachaguliwausimlnganishe mandela na hawa jamaa mandela ile kichwa nyingine acha kabisa mbowe alishaonyesha udhaifu hata ndani ya chama chake kukatalia kwenye uenyekiti hataki wenzie warithi miaka nenda rudi mandela uliona anatabia hizo
Ulimwengu upi?Jiulize pia kwanini Rais wa nchi na Mkuu wa Polisi walitumia nguvu kubwa kuuaminisha ulimwengu kua Mbowe ni Gaidi wakati mahakama zipo?
kwani mbowe akiwa rais akaja akafa mtafanya nini au yule ni mtu wa chuma kama robot hafi yeye? unamaswali ya kiuchi wa kike kweli we jamaa..na baada ya uchaguzi Maza akifa kama Magufuli itakuwaje?
..Magufuli aliukamia Uraisi matokeo yake akafa miezi michache baada ya ushindi wa tsunami.
..Jambo la msingi ni kutenda HAKI wakati wote.
katiba inasemaje kuna kiongozi wa maisha chadema? ndiyo ujinga mliorithi wanachadema wote ujinga tuAmekalia au anachaguliwa
Nguvu kubwa inatumiwa na Lumumba kuwaleta Kaaya, mama muuza Mbege, Mzee wa Ballistic,Kingai ili kutoa ushahidi wa uongoTukiacha mahaba ya vyama, au kati ya mtu na mtu kwanini inatumika nguvu kubwa kuiaminisha jamii kuwa Mbowe kaonewa ihali kesi bado inaendelea na anamawakili mahili kupata kutokea nchi hii.
Tuache sheria ichukue mkondo wake na mahakama zifanye kazi yake.
Kwa ushahidi wa Kaaya na muuza Mbege,, yaani umfunge Raila odinga afu wakenya wasipige kerere, umfunge, Trump afu Americans wasipige kerere, ukweli Ni kuwa si Kongai, Hangaya, mawakili wa serikali wanaotaman kesi hii hisiwepo Ila wanatafuta jinsi ya kuitemaKwani hao wafungwa wote walioko gerezani wao sio binadamu?? Mpaka doa lionekane kwa kufungwa kwa mbowe? Kama unampenda mtuu unamshauri kablaa hajapatwa na matatizo. Mbowe akionekana na kosa sheria ichukue mkondo wake bila upendeleo.