GE2025 Samia: Serikali imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kudhibiti mamba

GE2025 Samia: Serikali imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kudhibiti mamba

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kwa lengo la kudhibiti mamba ili kuwalinda wananchi wanaotumia ziwa hilo kwa shughuli mbalimbali.

Akizungumza leo, Jumanne Oktoba 7, 2025, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Misungwi mkoani Mwanza, Samia amesema hatua hiyo inalenga kuongeza usalama wa wananchi, hususan wanawake wanaotumia ziwa hilo kwa shughuli za kijamii na kiuchumi.



 
Sawa hakuna shida sema mkumbushe admin wa account yake IG asiwe anafuta comment za watu.Kuna wakati anapewa ushauri wa kumjenga yeye anajifanya anapenda sifa shauri yake yakimfikia shingoni basi ntakuepo.
 
Come on now!!!
Paris_Tuileries_Garden_Facepalm_statue.jpg
 
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kwa lengo la kudhibiti mamba ili kuwalinda wananchi wanaotumia ziwa hilo kwa shughuli mbalimbali.

Akizungumza leo, Jumanne Oktoba 7, 2025, katika mkutano wa kampeni uliofanyika Misungwi mkoani Mwanza, Samia amesema hatua hiyo inalenga kuongeza usalama wa wananchi, hususan wanawake wanaotumia ziwa hilo kwa shughuli za kijamii na kiuchumi.

Siku zote mlikuwa wapi kujenga huo uzio......Leo uchaguzi umefika mnawadanganya watu.
 
Akihutubia mkutano wa kampeni Oktoba 7, 2025 mjini Misungwi, mkoani Mwanza, mgombea wa urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan alisema wameanza kujenga uzio ndani ya ziwa ili kuwatenganisha mamba, ili kina mama waweze kufanya shughuli zao bila hatari.


 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Back
Top Bottom