Samia ndio Rais wa kwanza kujenga Chuo Kikuu kila mkoa Tanzania. Hakuna mkoa ambao hauna Chuo Kikuu

Samia ndio Rais wa kwanza kujenga Chuo Kikuu kila mkoa Tanzania. Hakuna mkoa ambao hauna Chuo Kikuu

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
79,080
Reaction score
84,972
Kabla ya Samia hajaingia madarakani suala la Vyuo vikuu au TAWI la Chuo Kikuu ilikuwa ni kwenye Mikoa maarufu ya Dsm,Mbeya,Arusha,Dodoma, Kilimanjaro na Mwanza.

Mikoa mingine ilitengwa na kuonekana eti haifai kuwa na huo Kikuu.Hiyi dhana ya kipuuzi ilikataliwa na mama WA maono ambapo alianzisha Mpango wa kujenga Vyuo Vikuu na matawi yake Mikoa yote Tanzania.

Kutokana na maono hayo Sasa ndipo Mikoa iliyobezwa ikapata Vyuo Vikuu mfano

Rukwa-MUST & Teachers College

2. Simiyu-TIA

3. Manyara-TIA & ICT Centre of Excellence

4. Kigoma-Muhimbili University Campus
-TIA
- Chuo Cha Hali ya Hewa

5. Tabora
  • Chuo Cha Reli
  • Chuo Cha Ardhi

6 .Katavi-Sokoine University of Agriculture Campus

7. Lindi
-Udsm Campus
- Chuo Cha Mafuta na Gas

8. Kagera
-Udsm University Campus

9. Tanga
-Mzumbe University

10. Njombe
- Udom Campus

11 . Dodoma
  • Dodoma Technical College
  • Chuo Cha Madini

12. Geita
-Chuo Cha Madini

My Take
Kiufupi hakuna Mkoa hajajenga Chuo Kikuu.

Huyu ndio Samia Mama wa Uchumi wa Tanzania.


View: https://www.instagram.com/p/DU6ZVkXDm2-/?img_index=1&igsh=MWMyNHBqbHdtc2NyOA==
 
Kabla ya Samia hajaingia madarakani suala la Vyuo vikuu au TAWI la Chuo Kikuu ilikuwa ni kwenye Mikoa maarufu ya Dsm,Mbeya,Arusha,Dodoma, Kilimanjaro na Mwanza.

Mikoa mingine ilitengwa na kuonekana eti haifai kuwa na huo Kikuu.Hiyi dhana ya kipuuzi ilikataliwa na mama WA maono ambapo alianzisha Mpango wa kujenga Vyuo Vikuu na matawi yake Mikoa yote Tanzania.

Kutokana na maono hayo Sasa ndipo Mikoa iliyobezwa ikapata Vyuo Vikuu mfano

Rukwa-MUST & Teachers College

2.Simiyu-TIA

3.Manyara-TIA & ICT Centre of Excellence

4.Kigoma-Muhimbili University Campus
-TIA
-Chuo Cha Hali ya Hewa

5.Tabora
-Chuo Cha Reli
-Chuo Cha Ardhi

6.Katavi-Sokoine University of Agriculture Campus

7.Lindi
-Udsm Campus
-Chuo Cha Mafuta na Gas

8.Kagera
-Udsm University Campus

9.Tanga
-Mzumbe University

10.Njombe
-Udom Campus

11.Dodoma
-Dodoma Technical College
-Chuo Cha Madini

12.Geita
-Chuo Cha Madini

My Take
Kiufupi hakuna Mkoa hajajenga Chuo Kikuu.

Huyu ndio Samia Mama wa Uchumi wa Tanzania.

View: https://www.instagram.com/p/DU6ZVkXDm2-/?img_index=1&igsh=MWMyNHBqbHdtc2NyOA==

Ruvuma kajenga vitano
 
Back
Top Bottom