GE2025 Samia: Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura

GE2025 Samia: Mimi ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi, Oktoba 29 maandamano pekee yatakayotokea ni ya kwenda kupiga kura

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,498
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wafuasi wa chama hiko kujitokeza kupiga kura siku ya Oktoba 29, 2025, na kuwahakikishia kuwa hakutakuwa na maandamano zaidi ya maandamano ya kwenda vituoni kupiga kura.

"Niwahakikishie tarehe 29, kesho kutwa tu mwezi huu wa 10, niwaombe tokeni muende mkapige kura. Ninayeongea hapa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hii, ninataka niwaambie, maandamano yatakayokuwepo ni ya watu kwenda vituoni kupiga kura, hakuna maandamano mengine yatakayokuwepo hapa, hakuna tishio la kiusalama litakalokuwepo, anayesema ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii. Niwaombe ndugu zangu, twendeni mkapige kura, twendeni mkapige kura... Ndugu zangu mengine niachieni mimi, matusi niachieni mimi, ninayabeba kwa niaba yenu"

Samia ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Kinondoni, Dar es Salaam.


 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wafuasi wa chama hiko kujitokeza kupiga kura siku ya Oktoba 29, 2025, na kuwahakikishia kuwa hakutakuwa na maandamano zaidi ya maandamano ya kwenda vituoni kupiga kura.

"Niwahakikishie tarehe 29, kesho kutwa tu mwezi huu wa 10, niwaombe tokeni muende mkapige kura. Ninayeongea hapa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hii, ninataka niwaambie, maandamano yatakayokuwepo ni ya watu kwenda vituoni kupiga kura, hakuna maandamano mengine yatakayokuwepo hapa, hakuna tishio la kiusalama litakalokuwepo, anayesema ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii. Niwaombe ndugu zangu, twendeni mkapige kura, twendeni mkapige kura... Ndugu zangu mengine niachieni mimi, matusi niachieni mimi, ninayabeba kwa niaba yenu"

Samia ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Kinondoni, Dar es Salaam.

View attachment 3491476
Bure kabisa
 
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wafuasi wa chama hiko kujitokeza kupiga kura siku ya Oktoba 29, 2025, na kuwahakikishia kuwa hakutakuwa na maandamano zaidi ya maandamano ya kwenda vituoni kupiga kura.

"Niwahakikishie tarehe 29, kesho kutwa tu mwezi huu wa 10, niwaombe tokeni muende mkapige kura. Ninayeongea hapa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hii, ninataka niwaambie, maandamano yatakayokuwepo ni ya watu kwenda vituoni kupiga kura, hakuna maandamano mengine yatakayokuwepo hapa, hakuna tishio la kiusalama litakalokuwepo, anayesema ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii. Niwaombe ndugu zangu, twendeni mkapige kura, twendeni mkapige kura... Ndugu zangu mengine niachieni mimi, matusi niachieni mimi, ninayabeba kwa niaba yenu"

Samia ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Kinondoni, Dar es Salaam.

View attachment 3491476

..hajui hata aongee nini, na wakati gani.

..kipindi cha kampeni sio sahihi kujimwambafai na cheo cha Amiri Jeshi Mkuu.

..hayo maneno hakupaswa kuyatamka kipindi hiki ambacho yeye ni mgombea.

..huyu mama ni mzigo.
 
Siku hiyo kutakuwa na maandamano ya amani ya kwenda kupiga kura,na maandamano hayo yatakwisha baada ya kupiga kura,Rai yangu ukipiga kura naenda nyumbani kaendelee na shughuli zako huku ukisubiri matokeo.......
Mnatumia nguvu kubwa kuhamasisha ushenzi wenu, kama mnakubalika si msubiri hiyo 29/ watu waende kwa uhuru wao? Au mnahofia kusalitiwa na wale mliowahonga pesa chafu?
 
Huyu ndio rais wa hovyo na kilaza kuliko yeyote hapa Afrika, hajui kwa sasa hana cheo chochote hivyo hana utofauti na wale watia nia wenzie wa vyama pinzani wanaonadi sera zao ili wapate nafasi ya kushinda ktk kura na kuvipata hivyo vyeo ambavyo huyu SHETANI SAMIA kashajivika kabla hata ya uchaguzi kufanyika.

Kumtetea huyu mtu inahitaji Kujitoa akili haswa
 
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wafuasi wa chama hiko kujitokeza kupiga kura siku ya Oktoba 29, 2025, na kuwahakikishia kuwa hakutakuwa na maandamano zaidi ya maandamano ya kwenda vituoni kupiga kura.

"Niwahakikishie tarehe 29, kesho kutwa tu mwezi huu wa 10, niwaombe tokeni muende mkapige kura. Ninayeongea hapa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hii, ninataka niwaambie, maandamano yatakayokuwepo ni ya watu kwenda vituoni kupiga kura, hakuna maandamano mengine yatakayokuwepo hapa, hakuna tishio la kiusalama litakalokuwepo, anayesema ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii. Niwaombe ndugu zangu, twendeni mkapige kura, twendeni mkapige kura... Ndugu zangu mengine niachieni mimi, matusi niachieni mimi, ninayabeba kwa niaba yenu"

Samia ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Kinondoni, Dar es Salaam.


Pumbavu zake.
 
..hajui hata aongee nini, na wakati gani.

..kipindi cha kampeni sio sahihi kujimwambafai na cheo cha Amiri Jeshi Mkuu.

..hayo maneno hakupaswa kuyatamka kipindi hiki ambacho yeye ni mgombea.

..huyu mama ni mzigo.
Ngumu sana kuamini huyu hata ile Common sense kama inafanya kazi akilini mwake, hivi magufuri alitumia mambo gani kumpitisha huyu mjinga kumpa cheo cha umakamu ambacho kiuhalia hakimfai na kwa level zake samia ilitakiwa awe mkuu wa wilaya na si zaidi ya hapo.

TANZANIA THE FAILURE STATE
 
..hajui hata aongee nini, na wakati gani.

..kipindi cha kampeni sio sahihi kujimwambafai na cheo cha Amiri Jeshi Mkuu.

..hayo maneno hakupaswa kuyatamka kipindi hiki ambacho yeye ni mgombea.

..huyu mama ni mzigo.
True. Hata kipindi cha kawaida sio poa kurudia rudia Mimi ni jeshi mkuu. It is known fact. Wengine ndo wamuite hivyo si yeye mwenyewe, just common sense
 
Kama yeye ni amri jeshi anafanya kampeni za vitisho ili iweje?

Bunge limevunjwa tupo kwenye kampeni uchwara bado tena tunapigana mkwara?!
 
Huyu Maza Kila siku haamini kama yeye ni amiri jeshi mkuu..
Ameishia kurudia Hilo neno mara kwa mara
 
Eti hiyo anaongea hapa Amiri jeshi mkuu, ndio watu wamuogope au? Sijaelewa
 
Mh. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatumia haki yake ya kikatiba kuhimiza watu wajitokeze kumpigia kura, wenye mawazo tofauti haipendezi kushusha matusi. 🙏
 
Kila siku utambulisho, watanzania kwani hamjui cheo cha mama yenu
 
Sema huyu amri jeshi mkuu na wale incels wa jf ni hivi

1000010928.jpg
 
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wafuasi wa chama hiko kujitokeza kupiga kura siku ya Oktoba 29, 2025, na kuwahakikishia kuwa hakutakuwa na maandamano zaidi ya maandamano ya kwenda vituoni kupiga kura.

"Niwahakikishie tarehe 29, kesho kutwa tu mwezi huu wa 10, niwaombe tokeni muende mkapige kura. Ninayeongea hapa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa nchi hii, ninataka niwaambie, maandamano yatakayokuwepo ni ya watu kwenda vituoni kupiga kura, hakuna maandamano mengine yatakayokuwepo hapa, hakuna tishio la kiusalama litakalokuwepo, anayesema ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii. Niwaombe ndugu zangu, twendeni mkapige kura, twendeni mkapige kura... Ndugu zangu mengine niachieni mimi, matusi niachieni mimi, ninayabeba kwa niaba yenu"

Samia ameyasema hayo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Kinondoni, Dar es Salaam.


She’s an idiot. Manabii hawakuwa na majambazi wa kuteka na kuua raia wasiokuwa na hatia!
 
Back
Top Bottom