GE2025 Samia: Kuna jamaa zetu wametia mpira kwapani

GE2025 Samia: Kuna jamaa zetu wametia mpira kwapani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi waliohudhuria katika Mkutano wa Kampeni, Kata ya Ngerengere, Mkoa wa Morogoro, leo tarehe 29 Agosti 2025 amesema, "Kule ninakotoka mimi Zanzibar kuna timu ambayo, wakiona wanaenda kufungwa na ushindi haupo wanatia mpira kwapani....sasa kuna jamaa zetu wametia mpira kwapani zamani mapema kabisa wanasema aaaah! CCM hatuwezi hawa twen'zetuni...."

 
Hapo ni ngerengere nyomi la kufa mtu
1756460239331.jpg
1756460245400.jpg
 
Ila tuseme tu ukweli mama ni mwepesi sana kwenye kampeni, yaani kama ingekuwa ni kipimo cha mtu kuchaguliwa ni uwezo wake wa kujenga hoja bila shaka angeshika nafasi ya mwisho.
kabisa, nimemsikia jana yani she is very shallow. Ni haki amuogope Tundu Lissu.
 
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi waliohudhuria katika Mkutano wa Kampeni, Kata ya Ngerengere, Mkoa wa Morogoro, leo tarehe 29 Agosti 2025 amesema, "Kule ninakotoka mimi Zanzibar kuna timu ambayo, wakiona wanaenda kufungwa na ushindi haupo wanatia mpira kwapani....sasa kuna jamaa zetu wametia mpira kwapani zamani mapema kabisa wanasema aaaah! CCM hatuwezi hawa twen'zetuni...."

Tatizo kuu la huyu mgombea ndio hilo. Yaani hana mdomo wa uongozi, bali mdomo wa kwenye vigodoro.
Kwamba sisi watanzania hatujui ni kwanini Chadema hawapo kwenye uchaguzi? Mbona kamuweka Lissu mahabusu? Angemuaxhia aone moto ambao ange pelekewa.
Ccm acheni siasa nyepesi..
 
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na wananchi waliohudhuria katika Mkutano wa Kampeni, Kata ya Ngerengere, Mkoa wa Morogoro, leo tarehe 29 Agosti 2025 amesema, "Kule ninakotoka mimi Zanzibar kuna timu ambayo, wakiona wanaenda kufungwa na ushindi haupo wanatia mpira kwapani....sasa kuna jamaa zetu wametia mpira kwapani zamani mapema kabisa wanasema aaaah! CCM hatuwezi hawa twen'zetuni...."

Amejizima data daah.
 
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewaomba wakazi wa Ngerengere, Mkoa wa Morogoro, kuwachagua wagombea wa CCM katika nafasi zote tatu za uongozi katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Soma pia:Hatuwezi kushiriki uchaguzi ni kama Samia ameweka mpira kwapani alafu anatuambia tucheze hewa



Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, Dkt. Samia aliwataka wananchi kuhakikisha kura zao zinaenda kwa CCM kuanzia ngazi ya urais, ubunge hadi udiwani ili chama hicho kiendelee kutekeleza mipango yake ya maendeleo.

Aidha, akitumia mfano wa michezo, amesema baadhi ya vyama vya upinzani vimekata tamaa mapema na kushindwa kuonesha nia ya ushindani katika uchaguzi wa mwaka huu.
 
kama wametia kwapwani kwa nini kila siku midomo yenu inawazia chadema tu.
 
Back
Top Bottom