GE2025 Samia: Kila kitu kipo ni kuheshimisha utu wa Mtanzania, sina uchungu nabeba matusi yote yanayotolewa

GE2025 Samia: Kila kitu kipo ni kuheshimisha utu wa Mtanzania, sina uchungu nabeba matusi yote yanayotolewa

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema matusi anayotukanwa anayabeba kwa niaba ya wananchi.
Pia, amesema maandamano yatakayokuwepo ni ya kwenda kupiga kura na siyo maandamano mengine.

Samia amesema hayo leo Oktoba 21, 2025 kwenye mwendelezo wa kampeni zilizofanyika jijini Dar es Salaam.

'Nataka niwaambie maandamano yatakayokuwepo ni ya watu kwenda vituoni kwenda kupiga kura, hakuna maandamano mengine yatakayokuwepo hakuna tishio la kiusalama litakalokuwepo anayesema ni Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii",.

Katika hatua nyingine Samia amesema matusi anayotukanwa anayabeba kwa niaba ya wananchi.

"Sina uchungu wa kubeba matusi yote yanayotolewa kwa sababu nafanya kazi hii, sina uchungu hata kidogo wala sijutii," amesema.

Pia Soma: Samia: Maandamano yatakayokuwepo ni ya kwenda kituoni kupiga Kura, anayezungmza ni Amirijeshi mkuu

 
Alivyo na roho Ngumu hataki kukubali kuwa anakosea zaidi zaidi anataka kujipa utukufu na kuwafanyia uovu/umafia wanaomuonesha lipi jema na lipi zuri.

Kumuunga mkono huyu mtu inahitaji kujitoa ufahamu wote na kuruhusu ushetani ukutawale ndipo umsapoti.

Utawala mbovu wa kikwete ulichukiwa lakini kwa huyu Samia she's totally WORSE. Nadhani kwa Afrika Top5 ya maraisi waovu na washenzi Samia ataingia Top 3
 
Alivyo na roho Ngumu hataki kukubali kuwa anakosea zaidi zaidi anataka kujipa utukufu na kuwafanyia uovu/umafia wanaomuonesha lipi jema na lipi zuri.

Kumuunga mkono huyu mtu inahitaji kujitoa ufahamu wote na kuruhusu ushetani ukutawale ndipo umsapoti.

Utawala mbovu wa kikwete ulichukiwa lakini kwa huyu Samia she's totally WORSE. Nadhani kwa Afrika Top5 ya maraisi waovu na washenzi Samia ataingia Top 3
That bitch ain’t good for nothing! She’s the queen of evils!
 
Huwenda JPM tulimwonea sana bila kujua kwamba Wanamtandao ndio sababu kuu ya hayo yote tulodhani ni yeye
Hatukumuonea mimi nilikuwa mfuasi wa Magufuli wakati anaingia ikulu wakati huo na kama huniamini angalia michango yangu humu lakini alipoanza kutawala kwa mkono wa chuma nilaanza kuwa critic wake.

Alipoingia akasema Katiba Mpya sio kipaumbele chake ndiko kulikonisababisha nianze mpango wa kuhama CCM na kuja upinzani.
 
"Sina uchungu wa kubeba matusi yote yanayotolewa kwa sababu nafanya kazi hii, sina uchungu hata kidogo wala sijutii," amesema.

Sisi hasa Watanganyika tunajuta sana kuwa na mifumo mibovu iliyotuletea huyu mwanamke mbovu, binadamu katili asiye na utu kuwahi kutokea kwenye hili Taifa. Mwanamke asiye na uchungu, wala kujali maisha ya Watanganyika.

Kila siku anatutukana kwa matendo yake ya maovu, ya kifisadi, utekaji, mauaji, dhuluma, kuhamisha kodi, rasilimali, mali za Taifa kwenda kwenye familia yake, Zanzibar na uarabuni.
 
Sasa ndio kaongea nini? Mimi hata sijamuelewa. Au ndio anatuchamba? Yani badala afanyie kazi malalamiko ya wananchi, anawachamba?? Sasa yanayosemwa juu yake ni kweli au uongo? Ufisadi huo uliokithiri na kujipa tenders, ni kweli au uongo? Hayo ni matusi? Bora angekuwa anastick kwenye kusoma anachoandikiwa, akisema atoe yake huwa ni kasheshe.
 
Huo "UTU" labda alimaanisha "UTUMWA"
20251005_134437.jpg
20251017_031012.jpg
20251005_131554.jpg
 
Hata kama ningekuwa mimi .. nyie nitukaneni tu matusi yote as long us Naiba navyotaka ,nachuma mali zike nipendavyo ,familia yangu inaishi kama peponi . SHIDA IKO WAPI ? nyie ishieni kutukana tu .
 
Back
Top Bottom