Samia kila anachokifanya kinayeyuka kama barafu, jamii imemkataa

Samia kila anachokifanya kinayeyuka kama barafu, jamii imemkataa

Mtafungua nyuzi hata 1000 kwa siku, Samia yupo pale ikulu kwa ridhaa ya kura tulizompigia sisi tarehe 29 October.

Mengi anayoyafanya tunayaona tunayaheshimu kwani yatakuja kuiinua Tanzania ijayo.

Kigoma hapakuwa na uwanja wa ndege palisahauliwa na marais waliopita, hivi sasa uwanja mkubwa unaendelea kujengwa.

Kule Karemi Rukwa zimetengenezwa meli nne zinazokwenda kuufungua uchumi wa Ziwa Tanganyika.

Mengine mengi sana anayafanya, nyinyi mnaolipwa pesa za mashoga wa EU hamtusumbui vichwa kwa namna yoyote ile.
Hivi huwa mnapotoa hoja zenu, hamuwezi kuhusisha ushoga/mashoga??
Nini maana yake? Mbona sasa nyie mnaojiona ni straight uchwara, kutwaa huko kwa mashoga kulamba miguu na kupiga magoti, mpewe misaada na mikopo...

Mna lipi la kuwatambia mashoga? Km hadi hizo condoms mnazotumia kujiona ni wakamilifu, wanatengeneza wao na mnachukua kwao.
Mxxxxxiiiiiieeeew.
 
Pumbavu, matokeo ya uchaguzi yalitakiwa kubandikwa kwenye mbao za matangazo na sawa hivi yangetakiwa kuwa mtandaoni kila mtu aone.
Pumbavu wewe mwenyewe, nani angeweza kubandika wakati vichaa huko barabarani walikuwa wameshaanza kuchoma kila ofisi ya serikali.

Mnahalalisha vurugu lakini mnashindwa kuhalalisha nguvu iliyotumika katika kuzituliza hizo vurugu.

Kwamba haki yenu inafaa kutetewa kwa namna yoyote ile lakini haki ya taasisi za ulinzi za serikali inavunja haki za binadamu!!.
 
Kwa mbeleko ya dola kama nyie ama?
Haihitaji mbeleko mkuu, chama tawala kinastahili kupata kila kura inayopigwa. Usiamini huu ujinga kwamba CCM wanaiba kura.

Kule Pangani linajengwa daraja ambalo tangu uhuru lilikuwa halijajengwa, haihitajiki kuiba kura kwa Samia kushinda katika eneo lile.

Kule Ziwa Tanganyika kuna meli nne zinajengwa muda huu, kiuchumi ziwa lile limefufuliwa baada ya miaka 60 ya ukosefu wa miundo mbinu inayoukuza uchumi. Haihitaji wizi wa kura kwa Samia kushinda kura zote za eneo lile.

Kule Lindi imejengwa bandari ya uvuvi, inakwenda kuwa soko la samaki wa wavuvi wote wa eneo la kusini ya Tanzania, Samia hahitaji kuiba kura eneo lile.

Kule Ziwa Victoria zimepelekwa boti maalum kwa ajili ya wagonjwa wa visiwa vya Ziwa lile, tangu uhuru hakuna Rais aliyeweza kuwajali wakazi wa visiwa vile, haihitaji wizi wa kura ili Samia awe Rais.
 
Majengo ya shule na zahanati nchini plus ajira alizoajiri havijayeyuka!

Unajua maisha sio kuridhishana mioyo Bali kutimiza wajibu!

Watz watu wa mioyoni sana kuliko kutimiza wajibu ipasavyo!!

Kilichotokea october kiliwahi kutokea Zanzibar na ni tatizo la kimfumo kwamba"ccm ndio chama pekee kilicho na baraka ya kushika Dola na vingine kazi yake ni kuisaidia ccm isiharibu"

Hilo limeandikwa kwenye Kuta za Siri za taifa na linalindwa na katiba Ili Imani hiyo itimie!!

Hasta kama ungekua wewe ungepunguza TU kiwango lakini Kuna watu lazima wangepoteza maisha!!
 
Haihitaji mbeleko mkuu, chama tawala kinastahili kupata kila kura inayopigwa. Usiamini huu ujinga kwamba CCM wanaiba kura.

Kule Pangani linajengwa daraja ambalo tangu uhuru lilikuwa halijajengwa, haihitajiki kuiba kura kwa Samia kushinda katika eneo lile.

Kule Ziwa Tanganyika kuna meli nne zinajengwa muda huu, kiuchumi ziwa lile limefufuliwa baada ya miaka 60 ya ukosefu wa miundo mbinu inayoukuza uchumi. Haihitaji wizi wa kura kwa Samia kushinda kura zote za eneo lile.

Kule Lindi imejengwa bandari ya uvuvi, inakwenda kuwa soko la samaki wa wavuvi wote wa eneo la kusini ya Tanzania, Samia hahitaji kuiba kura eneo lile.

Kule Ziwa Victoria zimepelekwa boti maalum kwa ajili ya wagonjwa wa visiwa vya Ziwa lile, tangu uhuru hakuna Rais aliyeweza kuwajali wakazi wa visiwa vile, haihitaji wizi wa kura ili Samia awe Rais.
Kwani kuiba kura ni jambo la kuaminishwa au naona kwa macho yangu? Kama kukaa madarakani ni miundombinu, Nyerere alitoa raslimali za nchi kuwasaidia akina Mandela ili iweje wakati makaburu waliweka miundombinu ambayo hata ccm wakitawala milele nchi hii hawatakaa wafikie?
 
Kwani kuiba kura ni jambo la kuaminishwa au naona kwa macho yangu? Kama kukaa madarakani ni miundombinu, Nyerere alitoa raslimali za nchi kuwasaidia akina Mandela ili iweje wakati makaburu waliweka miundombinu ambayo hata ccm wakitawala milele nchi hii hawatakaa wafikie?
Hiyo miundo mbinu isipojengwa inakuwa sababu tosha ya chama kuondolewa madarakani.

Umeme usiposambazwa nchi nzima kina Heche wanapata sababu ya kuiponda CCM kwenye mikutano na wananchi. Unapokuwepo umeme inakuwa imetimia haja ya wapiga kura.

JPM atakumbukwa milele yote kule Sengerema na Mwanza Mjini baada ya kujenga daraja, kabla halijajengwa yeye mwenyewe hayati JPM alinusurika kuwa sehemu ya mtumbwi uliozama ziwani ilikuwa bahati aliamua kutafuta usafiri mwingine. Jiulize wamekufa watu wangapi mahali pale kwa ukosefu wa kivuko.

Masuala ya haki za binadamu yasitunyime uwezo wa kuheshimu jitihada inayowekwa kwenye kubadilisha hali za wananchi.

Hakuna namna tunaweza kuridhishwa kwa asilimia 100, lawama zitakuwepo siku zote. Lakini mwananchi mpiga kura hana sababu ya kuinyima kura CCM kwa mengi ambayo inatimiza kila kukicha.
 
Hiyo miundo mbinu isipojengwa inakuwa sababu tosha ya chama kuondolewa madarakani.

Umeme usiposambazwa nchi nzima kina Heche wanapata sababu ya kuiponda CCM kwenye mikutano na wananchi. Unapokuwepo umeme inakuwa imetimia haja ya wapiga kura.

JPM atakumbukwa milele yote kule Sengerema na Mwanza Mjini baada ya kujenga daraja, kabla halijajengwa yeye mwenyewe hayati JPM alinusurika kuwa sehemu ya mtumbwi uliozama ziwani ilikuwa bahati aliamua kutafuta usafiri mwingine. Jiulize wamekufa watu wangapi mahali pale kwa ukosefu wa kivuko.

Masuala ya haki za binadamu yasitunyime uwezo wa kuheshimu jitihada inayowekwa kwenye kubadilisha hali za wananchi.

Hakuna namna tunaweza kuridhishwa kwa asilimia 100, lawama zitakuwepo siku zote. Lakini mwananchi mpiga kura hana sababu ya kuinyima kura CCM kwa mengi ambayo inatimiza kila kukicha.
Narudia tena, kama miundombinu inatoa uhalali wa kukaa madarakani, akina Mandela walikuwa wanapambana na makaburu ili iweje? Uchaguzi wa 2025 ile voters turnout ni udhibitisho kuwa watu wameichoka ccm. Miundombinu inafanywa na kodi za wananchi, sio hisani ya ccm.
 
Narudia tena, kama miundombinu inatoa uhalali wa kukaa madarakani, akina Mandela walikuwa wanapambana na makaburu ili iweje? Uchaguzi wa 2025 ile voters turnout ni udhibitisho kuwa watu wameichoka ccm. Miundombinu inafanywa na kodi za wananchi, sio hisani ya ccm.
Kodi zinatumiwa vizuri ndio maana nchi inaendelea kujengwa.Tafuta mataifa ya afrika hapa hapa uone ufisadi ulivyo mkubwa kuliko Tanzania.

Narudia pia kukwambia kwamba miundo mbinu inaonekana haki kuwepo kwa sababu kuna kazi imefanyika, ingekuwa haipo wapinzani kina CHADEMA wangetumia kutokuwepo kwake katika kujitangazia kwa wapiga kura.

Kuliko kulialia humu jukwaani waambie wanasiasa wenu warudi kwenye siasa za ushindani.
 
Siasa zianze 2030 kama mimi ndio ningekuwa Rais,tuiache serikali ipige kazi
 
Huyu Mama ambiwe ukweli na watu wake wa karibu, jamii imemtenga haimtaki kabisa,kila anachokifanya yeye au washirika wake kinabuma.

Na kila anayemtete mbele ya jamii anaonekana ni adui na msariti.
Sijawahi kuona kiongozi aliyekataliwa na jamii kama huyu

Angalia ishu ya Waziri wa mambo ya ndani aliyetenguliwa kila mtu kasimama naye sababu ya kupenda haki dhidi ya dhuruma ya mama Samia, tuzidishe maombi karibuni Mungu ataamua kama alivyofanya kwa madhalimu wote waliokuwepo kabla yetu kama Farao
Mbinu mpya Wajumbe, wenyeviti wa mitaa,Machawa familia,mali na nyumba zao pigeni moto 🔥 choma piga moto tembea na kuchoma kila kitu 🔥🔥🔥🚶
 
Ukarabati mkubwa unaendelea muda huu.

Njia za treni ya SGR kutoka Tabora zinaendelea kumalizika.
Kule kwenye makambi ya Waturuki yamefungwa baada ya serikali kukosa pesa ya kuendeshea mradi unaamanisha SGR ya kwenye makalio yako ?
 
Kujichagua alafu ukajiapisha bila ridhaa ya wenye nchi yao ni kazi bure, nchi si sawa na masikani ama genge ...kama hauwezi kuwaheshimu wenye nchi yao we nani?
 
Back
Top Bottom