Magufuli alikuwa kutwa nzima kuanzisha miradi na kuzinduwa miradi,lakini hakuwa na mda wa upuuzi kama huu,mwanaye anasema baba yake alikuwa halali kwa ajili ya kupitia mafairi,ile ilikuwa akili kubwa na tuliona maendeleo,huyu Mama kiatu cha Urais hakimtoshi akitaka awapishe wengine yeye aje awe waziri wa Sanaa utamaduni na michezoSAMIA KALAMU AWARDS 2025
🇹🇿MGENI RASMI: MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
📍 The Super Dome - Masaki
📅 5 Mei, 2025
🕐 Kuanzia saa 12:00 jioni
View attachment 3324288
View attachment 3324289
View attachment 3324290
Kwa mda mfupi washindani wetu wametupiga gape kubwa sana,kielimu,kiuchumi na kila kitu,inchi imegeuka ya kichwa na vipigo kwa polisi,Mungu inusuru Tanzania