tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu amesema Watanzania wanapaswa kukichagua chama hicho kwakuwa kinajali utu wa wananchi.
Soma pia: Kazi na utu, elewa maana ya “utu” tanzagiza!
Soma pia: Kazi na utu, elewa maana ya “utu” tanzagiza!