Kufungiwa kwa akaunti ya Mange, yafika mbali

Kufungiwa kwa akaunti ya Mange, yafika mbali

Samia ni kiongozi shupavu sana na atamaliza muda wake bila ya shida yoyote,pamoja na kupigwa vita na watu kadhaa
 
Samia ni kiongozi shupavu sana na atamaliza muda wake bila ya shida yoyote,pamoja na kupigwa vita na watu kadhaa
2030 ni mbali sana.....! Binadamu unapppanga mambo Yako, Mungu naye anapanga yake, mwisho unakaribia Mwishoni, not too far, alama za Nyakati zote zimejichora, huwezi hata kuona!?
 
Kwanza meta ni mtandao wakijinga sana unaendeshwa kwa maelekezo ya serikali hii ya ccm
 
Back
Top Bottom