McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa ndege maalum aina ya Boeing 787-8 Dreamliner kwenda Morocco kuwachukua wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars baada ya kuondolewa na wenyeji Morocco katika hatua ya 16 bora,
Akizungumza kuhusu hatua hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema ndege hiyo itawasafirisha wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa timu walioko Morocco, wakiongozwa na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Paul Makonda.
Msigwa alisema hatua hiyo imelenga kutambua mchango wa Taifa Stars katika kuipa Tanzania heshima barani Afrika, licha ya timu hiyo
Mbali na hilo, Rais Samia amepanga kuwaalika Taifa Stars katika chakula cha mchana Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam, tarehe 10 Januari, 2026, kwa ajili ya kuwapongeza wachezaji hao
Ndege hiyo inatarajiwa kuondoka Dar es Salaam kesho Januari 6, 2026, saa 9:00 alasiri kuelekea Rabat na kurejea nchini Januari 7, 2026, kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Akizungumza kuhusu hatua hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, alisema ndege hiyo itawasafirisha wachezaji, benchi la ufundi na viongozi wa timu walioko Morocco, wakiongozwa na Naibu Waziri wa wizara hiyo, Paul Makonda.
Msigwa alisema hatua hiyo imelenga kutambua mchango wa Taifa Stars katika kuipa Tanzania heshima barani Afrika, licha ya timu hiyo
Mbali na hilo, Rais Samia amepanga kuwaalika Taifa Stars katika chakula cha mchana Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam, tarehe 10 Januari, 2026, kwa ajili ya kuwapongeza wachezaji hao
Ndege hiyo inatarajiwa kuondoka Dar es Salaam kesho Januari 6, 2026, saa 9:00 alasiri kuelekea Rabat na kurejea nchini Januari 7, 2026, kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.