Samia aahidi trekta 10,000 karibu kila kijiji trekta moja

Samia aahidi trekta 10,000 karibu kila kijiji trekta moja

Mwanahabari Huria

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2025
Posts
297
Reaction score
172
===
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameahidi trekta 100 sawa na trekta moja kwa kila kijiji nchini ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, mgombea huyo alisema ahadi hiyo inalenga kuinua kilimo kwa kuongeza tija na kupunguza gharama za uzalishaji. Alieleza kuwa trekta hizo zitalenga kusaidia wakulima wadogo katika mashamba yao ya kilimo cha chakula na biashara.

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa letu. Tukihakikisha kila kijiji kinapata trekta, tutazalisha zaidi, tukae na chakula cha kutosha na pia tukiboresha uchumi wa vijijini
Wananchi waliohudhuria mkutano huo walipokea ahadi hiyo kwa shangwe, wakisema kuwa itakuwa msaada mkubwa katika kuongeza tija na kurahisisha shughuli za kilimo katika vijiji vyao.
 
===
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameahidi trekta 100 sawa na trekta moja kwa kila kijiji nchini ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, mgombea huyo alisema ahadi hiyo inalenga kuinua kilimo kwa kuongeza tija na kupunguza gharama za uzalishaji. Alieleza kuwa trekta hizo zitalenga kusaidia wakulima wadogo katika mashamba yao ya kilimo cha chakula na biashara.

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa letu. Tukihakikisha kila kijiji kinapata trekta, tutazalisha zaidi, tukae na chakula cha kutosha na pia tukiboresha uchumi wa vijijini
Wananchi waliohudhuria mkutano huo walipokea ahadi hiyo kwa shangwe, wakisema kuwa itakuwa msaada mkubwa katika kuongeza tija na kurahisisha shughuli za kilimo katika vijiji vyao.
Hongera sana Rais Samia
 
===
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameahidi trekta 100 sawa na trekta moja kwa kila kijiji nchini ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, mgombea huyo alisema ahadi hiyo inalenga kuinua kilimo kwa kuongeza tija na kupunguza gharama za uzalishaji. Alieleza kuwa trekta hizo zitalenga kusaidia wakulima wadogo katika mashamba yao ya kilimo cha chakula na biashara.

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa letu. Tukihakikisha kila kijiji kinapata trekta, tutazalisha zaidi, tukae na chakula cha kutosha na pia tukiboresha uchumi wa vijijini
Wananchi waliohudhuria mkutano huo walipokea ahadi hiyo kwa shangwe, wakisema kuwa itakuwa msaada mkubwa katika kuongeza tija na kurahisisha shughuli za kilimo katika vijiji vyao.
Hizi nazifananisha na zile porojo za Magufuli za 50m@kijiji.
 
Afadhali apeleke vijiji vyote ila sio kijijini kwetu mkuu, watu watauana...😜
Ila nimekumbuka matrekta ya kilomo kwanza yalivyo oza naangakia pale ukipita mataa ya njia panda kuelekea kwa waziri mkuu Dodoma...😪
 
===
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameahidi trekta 100 sawa na trekta moja kwa kila kijiji nchini ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, mgombea huyo alisema ahadi hiyo inalenga kuinua kilimo kwa kuongeza tija na kupunguza gharama za uzalishaji. Alieleza kuwa trekta hizo zitalenga kusaidia wakulima wadogo katika mashamba yao ya kilimo cha chakula na biashara.

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa letu. Tukihakikisha kila kijiji kinapata trekta, tutazalisha zaidi, tukae na chakula cha kutosha na pia tukiboresha uchumi wa vijijini
Wananchi waliohudhuria mkutano huo walipokea ahadi hiyo kwa shangwe, wakisema kuwa itakuwa msaada mkubwa katika kuongeza tija na kurahisisha shughuli za kilimo katika vijiji vyao.
Porojo tu hizo.Hivi anagombea dhidi ya nani?!
 
===
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameahidi trekta 100 sawa na trekta moja kwa kila kijiji nchini ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.

Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, mgombea huyo alisema ahadi hiyo inalenga kuinua kilimo kwa kuongeza tija na kupunguza gharama za uzalishaji. Alieleza kuwa trekta hizo zitalenga kusaidia wakulima wadogo katika mashamba yao ya kilimo cha chakula na biashara.

Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa letu. Tukihakikisha kila kijiji kinapata trekta, tutazalisha zaidi, tukae na chakula cha kutosha na pia tukiboresha uchumi wa vijijini
Wananchi waliohudhuria mkutano huo walipokea ahadi hiyo kwa shangwe, wakisema kuwa itakuwa msaada mkubwa katika kuongeza tija na kurahisisha shughuli za kilimo katika vijiji vyao.
Hizo trecta zinasaidiaje hao wanakijiji kwa mfano VIPI KILIMO BORA KILI ISHIAGAGA WAPI.

SLOGAN YA KILIMO BORA ILI ISHIAGA WAPI "" MABILIONI YA KIKWETE"" YALI ISHIAGA WAP

NB. MIMI NASHAURI WANACCM WANGETUREJESHEA ILE SLOGAN YA


""ARI MPYA,NGUVU MPYA NA KASI MPYA AU HATA ILE MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.""

HII SLOGAN YA KAZI NA UTU HAITU PROMISE CHOCHOTE
 
Back
Top Bottom