Samatta Hana sifa ya kuitwa nahodha,Anamaliza nauli zetu kwa kumwita she kucheza.Kuna taarifa za chinichini kuwa naodha wa Taifa Stars Mbwana Ally Samatta, beki wa Yanga Bakari Nondo Mwamnyeto na golikipa wa Simba Aishi Manura kuwa wamekutwa na Covid-19 huko Madagascar. Je, taarifa hizi zina uhakika kiasi gani?
Hata ukichanjwa unaweza kuambukizwaKwa nini si walichanjwa hao au hawajapata booster
Umeniwahi kujibu.Haina madhara hata timu nzima ingekutwa na Covid 19 sawa tuuu....