Samatta alienda nchi sahihi

MKONGA

JF-Expert Member
Feb 19, 2015
667
453
24d6072c2316c0e285aea7abefa3aad4.jpg
 
Nchi inaweza ikawa na ligi yenye ushindani mkubwa ulio katika kiwango bora kabisa, lakini timu ya taifa husika ikawa mbovu tu, and vice-versa
 
...hii nchi inabebwa na ubora wa wachezaji wake wanaocheza ligi za nje,sio hao wanaocheza ligi ya ndani,wao kuwa juu ni kwasababu ya kina de bruyne,hazard,kompany na wengine wa nje.
 
Kabla ya kwenda nje walitokea wapi? Na kutokea kwao kulikuwa kwa bahati mbaya au planned? Kuna mengi ya kujifunza
 
Genk leo wanapiga na Standard de Liege, angalia hapa jinsi walivyopost kwenye Facebook page yao. Samata anawakilisha kwa kweli...


Matchday !!! 51 punten was het doel. Nog zes te gaan. Wij beginnen er vandaag aan !!! [HASHTAG]#krcgenk[/HASHTAG][HASHTAG]#blauwbloed[/HASHTAG][HASHTAG]#dasfrza[/HASHTAG][HASHTAG]#cobw[/HASHTAG]

Matchday!!! 51 points was the goal. Six more to go. We start there today!!! ‪#‎Krcgenk‬‪#‎blauwbloed‬ ‪#‎dasfrza‬ ‪#‎cobw‬

Translated from Dutch

— with Privat Franck Koffi, Samatta Samatta andMbwana Samatta.

10264758_10153790681551558_9154191920251599990_n.jpg
 
Back
Top Bottom