Samaki wa aina hii wanapatikana wapi Tanzania?

Samaki wa aina hii wanapatikana wapi Tanzania?

Miunda

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
530
Reaction score
183
Naomba kupata msaada samaki wa aina hii wanapatikana wapi Tanzania, koi fish. na gharama gani? Kama hakuna ikiwa nitagiza nje kama Brazil, Nitahitajika kuwa na health certificate?
 

Attachments

  • 1414839180621.jpg
    1414839180621.jpg
    68.1 KB · Views: 570
  • 1414839218035.jpg
    1414839218035.jpg
    37.7 KB · Views: 489
Hao ni KOI fish kama sikosei
Wapo pale Kariakoo jamaa wanauzia kwa wenye mabwawa,ngoja nikipata jina la mtaa nitakupa.Bei yake ndefu kiasi kwa Pair
Kwa wale mlio Zanzibar ukienda pale Zanzibar Beach Resort wamafungwa.
 
Vipi wanaliwa hao samaki?

Hawa ni wamapambo tu kwe Ponds za nyumbani,sijashuhudia mtu akiwala.
Unaweza kuwala kwa majaribio kisha ukajaribu pia kula Kunguru kwa majaribio pia.Then utupe result maana hasa Kunguru wanakera sana,akitokea mtu wa kujaribu kuwala kisha akitupa matokeo mazuri basi Zanzibar tutakuwa matajiri muda sio mrefu kwa Biashara ya Kunguru
 
Hao ni KOI fish kama sikosei
Wapo pale Kariakoo jamaa wanauzia kwa wenye mabwawa,ngoja nikipata jina la mtaa nitakupa.Bei yake ndefu kiasi kwa Pair
Kwa wale mlio Zanzibar ukienda pale Zanzibar Beach Resort wamafungwa.

Nitashukuru kwa msaada wako,hapo zanzibar beach resort wanauza pia au? nataka kufahamu hapo wanapo patikana. Msaada wako. Ahsante
 
Nitashukuru kwa msaada wako,hapo zanzibar beach resort wanauza pia au? nataka kufahamu hapo wanapo patikana. Msaada wako. Ahsante
Hapana hapa Zanzibar wapo kama Decoration pale hotel kwenye pond yao maalum.

Nenda Pale Upanga,ile njia ya balozi wa Burundi,baada ye Jengo ya Ubalozi wa Burundi unaendelea mbele kidogo kuna Jengo linaukuta mkubwa mweupe Pale Kuna kikosi cha Jeshi,kisha mbele kidogo ikiangalia kushoto yake unaona Frame Ya Duka lao.
Ukifika maeneo yoyote hapo ukimuuliza mtu wapi wanauza Samaki wa Mapamabo atakueleza,maana hao jamaa mbele ni duka na uwani kwao wana Pond kubwa la Samaki aina nyingi wnazalisha wao wenyewe.

Mie ndio huwa nanunua kwao,kama file Bala Shark,Gold,Semes,Cat fish,Tigger,na Angle Fish ambao ni Aquarium friends Fishes
 
Hawa ni wamapambo tu kwe Ponds za nyumbani,sijashuhudia mtu akiwala.
Unaweza kuwala kwa majaribio kisha ukajaribu pia kula Kunguru kwa majaribio pia.Then utupe result maana hasa Kunguru wanakera sana,akitokea mtu wa kujaribu kuwala kisha akitupa matokeo mazuri basi Zanzibar tutakuwa matajiri muda sio mrefu kwa Biashara ya Kunguru

One Man's Meat is Another Man's Poison...

Crow Meat | iFood.tv

Extract from above link....

In a few countries like Lithuania, the bird was used a food source only when food was scarce. It was cooked into a large variety of dishes, but, with a rise in income levels, consumption of crow meat gradually reduced.


Recently, the meat has acquired a reputation of being an aphrodisiac. As a result, active hunting of the bird for its meat has increased. In America, hunting crows to cull their numbers is allowed from August to March.
 
Naomba kupata msaada samaki wa aina hii wanapatikana wapi Tanzania, koi fish. na gharama gani? Kama hakuna ikiwa nitagiza nje kama Brazil, Nitahitajika kuwa na health certificate?
Hawa ni Koi mkuu, mimi pia nawahitaji, katika kusearch nimekutana nathread hii japo ya zamani lakini ningependa kufaham kama wewe mwenzangu uliwapata unijulishe uliwapata wapi na mimi nahitaji.
 
Back
Top Bottom